Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,796
Habarini mabibi na mabwana...
Nimekaa na hiki kisa natafakari mara mia mia lkn sipati jibu, naishia kupata mixed feelings tu.
Ilikua hivi, Jumamosi iliopota nilitoka zangu kwenda mazoezini mida ya saa kumi na mbili. Niko zangu nakimbia kwenye barabara ya rami, mida hio ilikua bado tupu kiasi na kwa mbele nikamuona mdada fulani hivi kavaa yale madela yanayong'aa ng'aa hivi, huwa yanakua na rangi ya njano imechanganywa na nyeusi kwa mbali. Na inaonekana alikua amelishikilia kwa mbele sababu kwa nyuma huo mzigo aiseee ulikua umejichora shape namba nane kapisa ile ya kuprint. Wowowoo imejazia balaa.
Sasa mimi nikawa bize zangu kuongeza speed nikiwa nyuma yake, yeye alikua anatembea. Ile nmefika karibu nae kama mita 3 hv akasimama akageuka nyuma kama ananisubiria. Nikashangaa kiasi lkn nilivofika usawa nae akanisimamisha, yale marashi yalikua sio ya dunia hii aisee.
Ile kunisimamisha nikamuangalia sura, mwanamke ni mzuri ana rangi ya maji ya kunde hivi. Akanisalimia nikajibu. Ila kilichofuata ndicho kikanishangaza na ndo kinachofanya nifikiria hadi sasa. Yule mwanamke alinambia "Samahani kaka, nna njaa kweli naomba unisaidie elf 2 kama unayo" Jamani sio typing error, aliniomba elf 2, (2000).
Mimi nikabaki nashangaa kama nusu dakika huku nafikiri nini hiki. Yaan ukiangalia kuanzia shape lake,, malashi yalokua yananukia pale, sura yake, lile dela lake lilivo zuri (nadhan mnayafaham haya madela, kama ya special hivi yellow na black). Akilini nikapiga hesabu haraka na kwa wale wenzangu na mimi tuliosomea Cuba na baadae Israeli nadhan mnajua sometimes hii huwa ni mitego tu aidha ya kishirikina ua kiintellijensia.
Kiukweli nikamwambia yule dada, "hapa sina hela kabisa, si unaona nimevaa nguo za mazoezi hivo sijabeba pesa" Yule mdada akajibu kwa upole kabisa "Sawa kaka angu".
Hela nilikua nayo lakini nikaogopa aidha ingekuwa ni uchawi au mambo mengine yenye madhara kwangu sababu haiwezekani mwanamke mzuri vile aniombe 2000 na kwa kukazia kabisa "ana njaa sana"
Usiku nikaingiwa na mawazo kwamba bora ningemuomba namba nimtumie kwa simu then nile kimasikhara lkn upande mwingine wa akili unanambia ningekula jini.
Vipi wadau wenzangu, mlishawahi kutana na hii scandal?
Nimekaa na hiki kisa natafakari mara mia mia lkn sipati jibu, naishia kupata mixed feelings tu.
Ilikua hivi, Jumamosi iliopota nilitoka zangu kwenda mazoezini mida ya saa kumi na mbili. Niko zangu nakimbia kwenye barabara ya rami, mida hio ilikua bado tupu kiasi na kwa mbele nikamuona mdada fulani hivi kavaa yale madela yanayong'aa ng'aa hivi, huwa yanakua na rangi ya njano imechanganywa na nyeusi kwa mbali. Na inaonekana alikua amelishikilia kwa mbele sababu kwa nyuma huo mzigo aiseee ulikua umejichora shape namba nane kapisa ile ya kuprint. Wowowoo imejazia balaa.
Sasa mimi nikawa bize zangu kuongeza speed nikiwa nyuma yake, yeye alikua anatembea. Ile nmefika karibu nae kama mita 3 hv akasimama akageuka nyuma kama ananisubiria. Nikashangaa kiasi lkn nilivofika usawa nae akanisimamisha, yale marashi yalikua sio ya dunia hii aisee.
Ile kunisimamisha nikamuangalia sura, mwanamke ni mzuri ana rangi ya maji ya kunde hivi. Akanisalimia nikajibu. Ila kilichofuata ndicho kikanishangaza na ndo kinachofanya nifikiria hadi sasa. Yule mwanamke alinambia "Samahani kaka, nna njaa kweli naomba unisaidie elf 2 kama unayo" Jamani sio typing error, aliniomba elf 2, (2000).
Mimi nikabaki nashangaa kama nusu dakika huku nafikiri nini hiki. Yaan ukiangalia kuanzia shape lake,, malashi yalokua yananukia pale, sura yake, lile dela lake lilivo zuri (nadhan mnayafaham haya madela, kama ya special hivi yellow na black). Akilini nikapiga hesabu haraka na kwa wale wenzangu na mimi tuliosomea Cuba na baadae Israeli nadhan mnajua sometimes hii huwa ni mitego tu aidha ya kishirikina ua kiintellijensia.
Kiukweli nikamwambia yule dada, "hapa sina hela kabisa, si unaona nimevaa nguo za mazoezi hivo sijabeba pesa" Yule mdada akajibu kwa upole kabisa "Sawa kaka angu".
Hela nilikua nayo lakini nikaogopa aidha ingekuwa ni uchawi au mambo mengine yenye madhara kwangu sababu haiwezekani mwanamke mzuri vile aniombe 2000 na kwa kukazia kabisa "ana njaa sana"
Usiku nikaingiwa na mawazo kwamba bora ningemuomba namba nimtumie kwa simu then nile kimasikhara lkn upande mwingine wa akili unanambia ningekula jini.
Vipi wadau wenzangu, mlishawahi kutana na hii scandal?