Kufuatia picha waliyopost wasanii Harmonize na Marioo kuhusu ujio wa ngoma yao mpya, ningependa kumpa tahadhari Marioo kuwa Harmonize ni mtu mbad sana kwenye ngoma za kushirikiana na huwa hana huruma hata kidogo.
Kama unabishana namimi jaribu kupitia wimbo wa "NAOGOPA" walioimba pamoja Harmonize na Marioo.
Good Music from Badnation na Kondegang.
Kama unabishana namimi jaribu kupitia wimbo wa "NAOGOPA" walioimba pamoja Harmonize na Marioo.
Good Music from Badnation na Kondegang.