Marioo kuwa makini na Harmonize

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Kufuatia picha waliyopost wasanii Harmonize na Marioo kuhusu ujio wa ngoma yao mpya, ningependa kumpa tahadhari Marioo kuwa Harmonize ni mtu mbad sana kwenye ngoma za kushirikiana na huwa hana huruma hata kidogo.

20240111_175832.jpg


Kama unabishana namimi jaribu kupitia wimbo wa "NAOGOPA" walioimba pamoja Harmonize na Marioo.

Good Music from Badnation na Kondegang.
 
Hiyo picha inaonyesha kama konde boy ni mrefu kuliko Marioo ingawa kiuhalisia ni kinyume chake anyway wote wako vizuri ngoja tusubiri!!!!
 
Back
Top Bottom