Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Na mimi napend kujua aje atujuze apaMkuu unai truck vipi
Na mimi napend kujua aje atujuze apaMkuu unai truck vipi
Mtake radhi member mwenzetu hapa JFs, haingii akilini ati, Partner wa Maisha awe sehemu ya uhalifu.Mchunguze mkeo anashilikiana nao
maxime melo thank you for JF Mungu akubarikiMimi wamewahi kunipiga TV inchi 42 then nikanunua nyingine. Baada ya kama miezi 9 wakarudi tena. Siku hiyo bahati nzuri nilikuwa macho so nikawasikia kabisa wanavyoangaika na dirisha. Nikawaweka kwenye target nimdedishe moja. Wife akawaonea huruma, so nikaenda pale dirishani nikawaambia "madogo sijalala, mtakuja kufa".
bro nitumie majina yako kamili nikurushie kitu kidogo werld remit ama western unionHahaha. Eti aliniambia alianza kuwaza jinsi mama wa huyo kijana anakavyoumia akipata taarifa kijana wake ameuliwa. Akaangalia thamani ya TV na uhai wa huyo kijana! Anaona maadam hawajaingia ndani na hakuna madhara ya kimwili waliofanya basi akaona busara ni kuwakurupusha wakimbie.
Hawa vibaka wamekuwa mtihani mkubwa, watu hawana amani majumbani mwao, huko Goba nasikia ndo kumekithiri. Tuendelee kushauriana nini cha kufanya, labda tutoe mapendekezo irudi sheria ya uzururaji
Siku nyingine mkuu, shukrani.bro nitumie majina yako kamili nikurushie kitu kidogo werld remit ama western union
Hahaha. Mkuu wife ashirikiane na wizi wa tv tena wanaokuja usiku!! Si ningekuwa sina hata stuli tena zingechukuliwa mchana kweupe.Mchunguze mkeo anashilikiana nao
Naskia tegeta wao wanamtikisa mwizi Adi ubongo unachanganyika, maini na utumbo vinachanganyika afu wana kuacha hapo. Haichukui dk 10 unajifia mwenyeweFanyeni kama mbagala mwizi akikamatwa ni moto hawarudi hakuna kupelekana polisi
Hahaa Jamaa MgomviC:c Eddo Kumwembe.
Basi ungempasua japo kende zake ili asije akatuongezea idadi ya vibaka mtaaniHahaha. Eti aliniambia alianza kuwaza jinsi mama wa huyo kijana anakavyoumia akipata taarifa kijana wake ameuliwa. Akaangalia thamani ya TV na uhai wa huyo kijana! Anaona maadam hawajaingia ndani na hakuna madhara ya kimwili waliofanya basi akaona busara ni kuwakurupusha wakimbie.
Hii kiboko.... hapo mtu wala huna kosa la majaji mbele za Mungu. Anakuwa amejifia kwa hiari yakeNaskia tegeta wao wanamtikisa mwizi Adi ubongo unachanganyika, maini na utumbo vinachanganyika afu wana kuacha hapo. Haichukui dk 10 unajifia mwenyewe
kwasb wanakuaga na spray yausingzHii sijawahi kuisikia leta maujuzi basiIkipotea wewe kariri tu IMEI ya TV yako akiwasha tu popote pale unajua ilipo.
Babu unataka kukomesha kabisa kizazi....hahahahahaahaaaaaBasi ungempasua japo kende zake ili asije akatuongezea idadi ya vibaka mtaani
Haya majamaa yanatuumiza sana mheshimiwa mtakatifu nyau mweusi, bora tukimalize kizazi chao tu maana hamna namna tenaBabu unataka kukomesha kabisa kizazi....hahahahahaahaaaaa