dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,475
- 2,079
Huu mkwara ni Sayansi ya KiAfrika nini?C:c Eddo Kumwembe.
Huu mkwara ni Sayansi ya KiAfrika nini?C:c Eddo Kumwembe.
UMETENGENEZA ROOM NYINGINE YA WAO KUKUJARIBU.Hahaha. Eti aliniambia alianza kuwaza jinsi mama wa huyo kijana anakavyoumia akipata taarifa kijana wake ameuliwa. Akaangalia thamani ya TV na uhai wa huyo kijana! Anaona maadam hawajaingia ndani na hakuna madhara ya kimwili waliofanya basi akaona busara ni kuwakurupusha wakimbie.
I see. Basi sawa mkuu.UMETENGENEZA ROOM NYINGINE YA WAO KUKUJARIBU.