kuna mingurumu ya sauti kutoka marekani na nchi za magharibi kuwa wamekuwa wakiibiwa pesa kwa njia ya namba 419 kutoka africa.. mimi si mjuzi wa hii habari.. ila baada ya kufanya utafiti nikagundua chimbuko ni NIGERIA mbapo inasadikkia kuwa ni scarm..
Si vibaya fahari wawili au zaidi ya wenye utambuzi au waliohabarishwa habari hii kupitia vyanzo vyovyote wakatupa walau kile kitakachotufanya na sisi tusiwe nyuma sana ya haya mambo...
Si vibaya fahari wawili au zaidi ya wenye utambuzi au waliohabarishwa habari hii kupitia vyanzo vyovyote wakatupa walau kile kitakachotufanya na sisi tusiwe nyuma sana ya haya mambo...