Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Kwema jamanii washika dau? Hivi mnajua kwamba sasa Dar ni hatari sana kwa wale wanaotembea wamening'iniza laptop zao mabegani? Ndugu yangu kuna watu wako standby kuipora na kukimbia nayo. Najua unajiuliza luwa inakuaje???
Sikiliza, ukiwa unatembea barabarani hasa kwennye njia za watembea kwa miguu ambazo Dar magari yanazitumia pia, jihadhari sana na magari yanakuja nyuma yako, hawa jamaa huja kwa mwendo mdogo sana na akisha kukaribia mmoja wao anaivuta laptop yako toka begani mwako na gari kutokomea kusikojulikana.
Naongea kitu ambacho nimekushuhudia kwa macho mara mbili na mimi nikiwa nimekoswa koswa bara bara ya mwenge- ubungo kati ya junction ya mlimani city na mwenge. Jamaa walikuja na kupora laptop kwa mtembea kwa miguu, na siku nyingine vivyo hivyo.
Kwa kifupi, kuweni makini, asanteni
Sikiliza, ukiwa unatembea barabarani hasa kwennye njia za watembea kwa miguu ambazo Dar magari yanazitumia pia, jihadhari sana na magari yanakuja nyuma yako, hawa jamaa huja kwa mwendo mdogo sana na akisha kukaribia mmoja wao anaivuta laptop yako toka begani mwako na gari kutokomea kusikojulikana.
Naongea kitu ambacho nimekushuhudia kwa macho mara mbili na mimi nikiwa nimekoswa koswa bara bara ya mwenge- ubungo kati ya junction ya mlimani city na mwenge. Jamaa walikuja na kupora laptop kwa mtembea kwa miguu, na siku nyingine vivyo hivyo.
Kwa kifupi, kuweni makini, asanteni