helena mgomu
Member
- Sep 19, 2022
- 17
- 14
Habari
Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili
Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili
Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!