Wizi wa betri ya Gari

Wizi wa betri ya Gari

helena mgomu

Member
Joined
Sep 19, 2022
Posts
17
Reaction score
14
Habari

Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili

Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
 
Habari

Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili

Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
Wangeitaka gari wangeondoka nayo, shida yao ni hiyo betri tu.

Au wangekuachia gari iko uchi wangetowa power window, wangechukuwa taa zote, hapo washukuru kwa hilo.

Kama hapo ni nyumbani kwako funga camera ndio solution ya kuwakomesha hawa mbwa.
 
Wangeitaka gari wangeondoka nayo, shida yao ni hiyo betri tu.

Au wangekuachia gari iko uchi wangetowa power window, wangechukuwa taa zote, hapo washukuru kwa hilo.

Kama hapo ni nyumbani kwako funga camera ndio solution ya kuwakomesha hawa mbwa.
Asante ,ila naomba kujua kumbe inawezekana kbs mtu kufanya hvyo hvyo hata km gari imefungwa?maana nimeingia wasiwas isije kua funguo zinaingiliana siku wakaja wakaondoka nayo!

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Habari

Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili

Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
Wana namna ya kupachua bonnet bila kuingia ndani ya gari

 
Wangeitaka gari wangeondoka nayo, shida yao ni hiyo betri tu.

Au wangekuachia gari iko uchi wangetowa power window, wangechukuwa taa zote, hapo washukuru kwa hilo.

Kama hapo ni nyumbani kwako funga camera ndio solution ya kuwakomesha hawa mbwa.
Hujajibu swali lake,halafu camera haisadii chochote zaidi ya kuzalisha usumbufu wa kumtafuta mtu asiyejulikana
 
Habari

Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili

Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
yah inawezekana hasa kama show ya kwenye bonet haijafungwa vizuri iko weak au ina matundu makubwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mwiz wa ku disable alarm kwaajir ya betri sizan kama wale wanaofata gari kuiba au spea muhm wanaweza angaika hvyoo ,

Awez kuw na ujanja hvyo then aibe kitu ya lak had lak 2
Hiyo wana namna ya ku disable pia kuna solar alarm za nje ambazo hupiga kelele hata kabla hajaikaribia gari
 
Penye parking ya gari funga alarm hii
20221210_173622.jpg
20221210_173639.jpg
20221210_173648.jpg
 
Mwiz wa ku disable alarm kwaajir ya betri sizan kama wale wanaofata gari kuiba au spea muhm wanaweza angaika hvyoo ,

Awez kuw na ujanja hvyo then aibe kitu ya lak had lak 2
Ku disable alarm si kazi kubwa ni kuwa na kipande sumaku chenye nguvu kuliko sumaku ya alarm, hiyo unainasisha kwenye body ya gari... Hapo alarm haiwezi kufanya kazi tena
 
Back
Top Bottom