Wizi mtandaoni

Wizi mtandaoni

pepo ya Mabwege

Senior Member
Joined
May 18, 2017
Posts
138
Reaction score
117
Wahudumu wa airtel mbeya branch na mlimani city(kaunta namba 4)(yule dada mnene anaevaa kama Malaya na kukaa mapaja yote yako nje kama barmed wa kangaroo )

Wanaangalia salio za wateja kisha wanafanya mipango ya kuwaibia wateja,

Mimi qamefanikiwa kukwapua 50,000=


Viongozi wa airtel fanyieni kazi ili muukomeahe huu wizi.
 
Mvizie umpige picha uilete hapa jukwaani ili tumfahamu.
 
Kweli umeibiwa mkuu haukutaka hata kuelezea hiyo collabo ya Mlimani to Mbeya inafanyikaje
Daah aisee hata sijakuelewa kabisa mahusiano hayo mara Dar mara Mbeya alafu story ikaendelea sijajua hilo tukio ni Dar au Mbeya. Dilemma
 
Wahudumu wa airtel mbeya branch na mlimani city(kaunta namba 4)(yule dada mnene anaevaa kama Malaya na kukaa mapaja yote yako nje kama barmed wa kangaroo )

Wanaangalia salio za wateja kisha wanafanya mipango ya kuwaibia wateja,

Mimi qamefanikiwa kukwapua 50,000=


Viongozi wa airtel fanyieni kazi ili muukomeahe huu wizi.
Dah,
 
Malaya wa siku hizi hawaeleweki kabisa, wanakaba kijanja.
 
Wahudumu wa airtel mbeya branch na mlimani city(kaunta namba 4)(yule dada mnene anaevaa kama Malaya na kukaa mapaja yote yako nje kama barmed wa kangaroo )

Wanaangalia salio za wateja kisha wanafanya mipango ya kuwaibia wateja,

Mimi qamefanikiwa kukwapua 50,000=


Viongozi wa airtel fanyieni kazi ili muukomeahe huu wizi.
mkuu elezea vizuri tujue story wana ibaje kwanza
 
umeandika kama unakimbizwa?!? Embu eleza vizuri ni branch gani? Ameibaje? Lini? Ukachukua hatua gani?
 
Dar to mbeya shikamoo we Malaya unaeacha mapaja nje kama barmed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom