ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
- Thread starter
- #21
Asante hapa na pokea simu tu nawaambia nimeibiwa simuKirahisi rahisi tu! pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante hapa na pokea simu tu nawaambia nimeibiwa simuKirahisi rahisi tu! pole sana.
Na haina hata sukari.Chai
Niambie nianzie wapi usinicheke nduguNimecheka hadi machozi
aisee..!!kwahyo man
ndugu zako wakike
wameona mkuyenge?!!
Ngoja nicheke kwanza
narudi
Ohoo...!
DuhPole mzee kwahiyo ndugu zako wameona mlungule wako...
Nimewaza shangazi zangu ndio wanione nilivyo uchi halafu kesho naenda kwny send off ya binamu wangu![]()



Ame hack fb account yangu akachukua all friends zangu akawa add kwenye group afu yeye ndio admini afu ndio akaziweka huko. DaahNamba za nduguzo kazipata wapi?


akisema nisaule nakata simu. Ngoma drooKipimo Cha Korosho