Wizi mpya: Kaeni chonjo!


Dada Preta, nisamehe bure!
 
Last edited by a moderator:

Technically its impossible
 

Huyu mama mzururaji. Kama una issue za maana barabarani unakuwa na focus moja na huwezi ruhusu stranger kukuvamia na interest zao. Matunda ya uzururaji hayo
 
Tatizo la kuoa wanawake wasiosoma. anamwamini vipi total stranger hata akagawa simu yake. alikua ameangalia wapi wakibadilisha line ? mhoji vizuri huyo my wife wako huenda kuna vingi umeibiwa

We jamaa una maneno makali
 
Huo mchezo hauanzii wala kuishia barabarani.....Ofisi kuu inahusika.

Ndugu zangu tuache kushawishiwa na sare na vitambulisho..Hii nchi ishazalisha matapeli wa kutosha mitaani. Wengi wameshaibiwa na hao wanaovaa sare. Kwangu uje na sare ya Polisi, DAWASA, Tanesco na zozote zile unaishia getini.Na barabarani hunisimamishi ovyo hata uvae sare za aina gani?!
 
Mimi wamewahi kutaka kuniibia kwa kujifanya kuwa ni watumishi wa NMB kuwa ninahitajika kubadili taarifa zangu za NMB mobile. Walinihoji kwa dakika moja hivi lakini nilishtuka na nikawatukana sana. Baadaye walifunga ile simu na hata nilipowafuatilia sikuwapata. Kaeni chonjo sana na wezi hawa ---------- na watumishi wasio waaminifu wa NMB na wanawafuatilia wale wateja wenye hela nyingi kwenye akaunti zao.
 
unajua watu wengi password zao wanaweka mwaka wa kuzaliwa kwahiyo wakati wanamsetia yawezekana walimuuliza mwaka wa kuzaliwa
ni lazima uwe umekuja mjini leo ili uibiwe kwa style hii
 
Du!!!! poleni sana.. lalini passwords za NMB mobile walitoa wapi??
 
Kama unaanza utapeli/wizi, anza kwa wanawake. Baada ya kubobea kidogo, uje kwa wanaume.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…