Wizi huu wa Benki sio mzuri kwa Taifa

Huu ni mfano mmoja tu wa wazi ni bank karibu zote kwa ushirikiano na jamaa wa bank kuu. Lakini target zao kubwa ni wahindi na diaspora. Bank zote zina hili tatizo. Nasubiri apate pesa zake kwanza nitasema hii bank nayo lakini ni ma bank yote kuna watu wachafu ndani
Wewe unakosea, kuna watu wa bank supervision humu, sema waruke na hiyo bank faster, ndiyo maana rais kahamishia TIC ofisini kwake ili atumbue wajinga ka hiyo bank
 
Hapa kuna maswala mawili . Kwanza wizi lakini nimegundua hatuna utaratibu wa kuwalinda minority wetu kama wahindi au Watanzania wenye asili nyingine kwa manyanyaso. Jamaa anaogopa sana ingawa hajafanya kitu chochote kibaya. Mimi pia ni minority hapa US najua kuna uwoga tu wa kuwa minority. Hivyo siwezi kutoa specific mpaka aniruhusu lakini limeniuma tu.
Wewe ungesema tu, hatutaki wawekezaji waonewe, Tanzania ni yetu sote
 
Nilitumiwa 135$ kutoka kwa kutoka Standard Chartered Kenya kuja Tz , muvi linaanza alienitumia alilipia gharama ya 20$ huko kwao,

Naenda cheki mzigo benki yangu wameruka na 34$ imebaki 101$.

Nikasema hizo mambo za bank tranfer siztaki tena. Bora nirudi western au mpesa tu.

Movie la pili kuna rafki yangu alitakiwa atumiwe kama 1000$ msoto aliopitia na benki daaah.. mara anaekutumia aandike barua mara tushughulike maombi. Stori kibwenaaa
1. Alitaka atumiwe kutoka wapi? Kwa nini alienda bank? Kwani ukitaka kutumiwa fedha unaenda benki kabla hazijatumwa?
2. Hizo walizokata ulipotumiwa walisema ni za nini?
 
Nilitumiwa 135$ kutoka kwa kutoka Standard Chartered Kenya kuja Tz , muvi linaanza alienitumia alilipia gharama ya 20$ huko kwao,

Naenda cheki mzigo benki yangu wameruka na 34$ imebaki 101$.

Nikasema hizo mambo za bank tranfer siztaki tena. Bora nirudi western au mpesa tu.

Movie la pili kuna rafki yangu alitakiwa atumiwe kama 1000$ msoto aliopitia na benki daaah.. mara anaekutumia aandike barua mara tushughulike maombi. Stori kibwenaaa
Ndiyo maana mimi pesa inayoingia payoneer naitoa moja kwenye atm kuliko kuitransfer kwenye local bank halafu tuanze sumbuana. Hata kama natoa kiasi gani nakubari kuingia gharama kuliko kuihamishai bank wapite nayo
 
Hapa ndio namkumbuka marehemu Dr Shika.
Inawezekana ni kweli ukawa na pesa benki ila ukafa njaa.
Yule alipigwa na wanaija na hata wakina shigongo waliokuwa wanampiga picha walikuwa wanajua hilo ila hawakujali kwao ilikuwa habari ya kuuzia gazeti. Tangu lini transfer fee ikatumwa kwa western union? Ni akili ya kawaida tu. Bank wire transfer fee hukatwa kwenye kiasi kinachotumwa.
 
Wewe unakosea, kuna watu wa bank supervision humu, sema waruke na hiyo bank faster, ndiyo maana rais kahamishia TIC ofisini kwake ili atumbue wajinga ka hiyo bank
Uko sawa kabisa. Ataje hiyo benki au aende BoT NT 6th floor kama alivyoshauriwa hapo juu, hizo ni ofisi za bank supervision. Kama ana ushahidi wa kutosha kuwa ni hela halali hiyo benki yenyewe itamtafuta muda huo huo hata kabla ya kuondoka kwy hizo ofisi
 
Sina uhakika sana na unachokisema na siwezi kukukatalia ila mimi ninachokijua na kile nina uzoefu nacho ni kuwa kwa hesabu za kihasibu na mtaalamu wa kitengo cha FIU ni rahisi mno kwake kubaini money laundering akiingia kukukagua.

Hata hawa wenye utajili usioelezeka sema serikali inawafumbia macho tu ila ukweli wakiamua kukufuatilia hauponi. Wanaanzia kwenye yaarifa zako za kodi TRA. Kwa urahisi tu, una mali ya milioni 500,000,000 TZS, lakini TIN yako inaonyesha mpaka muda huo kodi uliyolipa ni milioni 20 kwa mfano. Sasa hapo kuna mawili.

1. Ulikuwa unakwepa kodi. Utapigiwa hesabu ya kodi toka kipindi ulipozipata hizo mali na adhabu yake. Unajikuta unadaiwa bilioni 1 zaidi ya mali ulizonazo. Kwanini usiwaachie zote? Ndugu, hii ipo kwenye sheria za kodi sema jamaa wanapotezea mambo yaende lakini wakikomaa wengi wanaumia. Na ndio maana Serikali ikiamua kukutafuta kukumaliza hapa hauponi.

2. Ulikuwa unajihusisha na utakatishaji fedha haramu ndio maana fedha zako hazikupita kwenye mfumo sahihi zikatozwa kodi. Hapa kwa nchi kama hizi za kwetu kuna changamoto tofauti na nchi za wenzetu walioendelea mtu hujikadiria kodi mwenyewe na kulipa pale anapogundua amezidisha hudai na kurudishiwa. Zidisha sasa hapa kwetu uone. Sasa kilichopo hapa ndio changamoto ilipo, nimeuza ng'ombe, mahindi nyumbani, nafanya hivyo miaka nenda rudi na utaratibu wetu sisi huku ni mpaka TRA wakutafute ndipo ulipe kodi, hapo ndio hili suala hushindikana kidogo.

Anyway cha mambo ni mengi na yana changamoto zake pale yanapotumika vibaya.
Na vp Kama nimefanya biashara zangu nje ya nchi, nimelipa kodi huko ila nataka kuingiza pesa hapa nchini kuwekeza. Nadaiwa kodi kwa fedha hizo kabla ya biashara?!
 
Hakuna huu ujinga, watu wanafanya baishara kama kawaida et usd 100,000. Nayo hela hiyo.

Naona umeamua kuchangamsha genge.
Unasemaje USD 100000 siyo hela kumbuka ni bilioni moja na ushee hiyo Kama unamiaka 40na ukaipata hiyo hela nakushauri usifanye biashara yoyote, we Chukua laki moja daily kula utakula hadi kifo chako, Kwa miaka 30utatumia Milioni 300 kumbuka una Milioni 1000 na

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom