jamani wanajamii, jana na leo nilifanya ziara binafsi katika bandari ya dsm, na haswaa kujua kulikoni baada ya kuwasikia wakongo wanaopitisha mizigom yao hasa magari wakilalamika khusu wizi wa vifaa kunyofolewa kwenye magari yao, mliosikiliza bbc mlisikia aibu hii
katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa, ulinzi pale bandarini ni very weak, yaani hamna polisi bali auxillary police ambao hawana uwezo hata wa kumshtaki mtuhumiwa, hawa mabwana wanalipwa mshahara wa juu sana around laki 6 kwa kima cha chini.lakini hawa watu wana-collude na wezi
ilikuwaje? nimeambiwa kuwa , wakati mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alianzisha msako katika bandari zetu na viwanja vya ndege kusaka biashara haramu, mtakumbuka kuwa aliwahi kukamata dhahabu zikitoroshwa pale airport na ikasemekana ilikuwa biashara ya mzee mwinyi na mkewe mama siti
baada ya hapo ili kuendelea na huu ufisadi wa wakubwa, mwinyi alimuru askari wetu waondolowe kule bandarini na uwanja wa ndege na kuunda hawa wanaoitwa auxillary police kuficha ukweli
kama jambo hili lisipoamngaliwa kwa makini wizi utakuwa maisha ya kawaida katika maeneo haya
ikiwezekana ukwepo msukumo wa kuondoa hawa watu ili banadri zetu na viwanja vya ndege virudishiwe heshima yake
katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa, ulinzi pale bandarini ni very weak, yaani hamna polisi bali auxillary police ambao hawana uwezo hata wa kumshtaki mtuhumiwa, hawa mabwana wanalipwa mshahara wa juu sana around laki 6 kwa kima cha chini.lakini hawa watu wana-collude na wezi
ilikuwaje? nimeambiwa kuwa , wakati mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alianzisha msako katika bandari zetu na viwanja vya ndege kusaka biashara haramu, mtakumbuka kuwa aliwahi kukamata dhahabu zikitoroshwa pale airport na ikasemekana ilikuwa biashara ya mzee mwinyi na mkewe mama siti
baada ya hapo ili kuendelea na huu ufisadi wa wakubwa, mwinyi alimuru askari wetu waondolowe kule bandarini na uwanja wa ndege na kuunda hawa wanaoitwa auxillary police kuficha ukweli
kama jambo hili lisipoamngaliwa kwa makini wizi utakuwa maisha ya kawaida katika maeneo haya
ikiwezekana ukwepo msukumo wa kuondoa hawa watu ili banadri zetu na viwanja vya ndege virudishiwe heshima yake