Stanley.
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 660
- 298
Kupitia ITV 'Habari za saa' wamesema kwamba wizara ya mambo ya ndani imetoa taarifa kuwa mh Nchimbi aliunda kamati na si Tume ili kuchunguza kadhia ya mkoani Iringa. Habari zaidi watatoa baadaye. Wadau wa sheria tusaidieni kamati hiyo inanguvu gani kisheria, na tofauti yake na Tume!