Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Wizara ya elimu ni wizara nyeti inayogusa maisha ya wananchi karibuni wote,kinachoshangaza imegeuzwa kama kijiwe kwani tangu 2005/06 mitaala imebadilishwa kiholela kiasi ambacho kinazidi poromosha kiwango cha elimu na kupunguza soko la ajira,tukifumbia macho hili tutajutia chukulia mfano siku hizi kuhitimu elimu ya msingi(darasa la saba)hisabati mtihani wake majibu ya kuchagua tena kwa penseli na ufuto maalumu,wapi inaelekea elemu nchi hii?