Kwanza nampongeza waziri wa Elimu na Timu yake kwa kuchakata na hatimaye kutuletea mtaala mpya wa elimu ya msingi ambao unatarajiwa kuanza kutumika mwakani 2024.
Hakika mtaala una mambo mengi mazuri wenye faida kwa kizazi chetu.
Kwa sasa kichotakiwa ni kutoa maelekezo na ufafanuzi jinsi utakavyoanza kutumika mtaala huo mwakani, tusisubirie kutokee mkanganyiko ndipo tuanze kutoa ufafanuzi, muda ni sasa.
Mfano; suala la watoto waliopo darasa la sita mwaka huu, je, mwakani wataendelea na darasa la saba au watajiunga form one?
Mambo hayo pamoja na mengine mengi yanapaswa yatolewe ufafanuzi muda huu sio mwakani.
Hakika mtaala una mambo mengi mazuri wenye faida kwa kizazi chetu.
Kwa sasa kichotakiwa ni kutoa maelekezo na ufafanuzi jinsi utakavyoanza kutumika mtaala huo mwakani, tusisubirie kutokee mkanganyiko ndipo tuanze kutoa ufafanuzi, muda ni sasa.
Mfano; suala la watoto waliopo darasa la sita mwaka huu, je, mwakani wataendelea na darasa la saba au watajiunga form one?
Mambo hayo pamoja na mengine mengi yanapaswa yatolewe ufafanuzi muda huu sio mwakani.