Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu salaam kwenu wote.
Ni hii Wiazara ya yule mama yangu wa Kanyigo AKA Prof. Tibaijuka. Kero yangu ni hao Masavea ambao hawasavei kitu cho chote badala yake wanasubiri wananchi wagharimie savei halafu wao waje kuomba cho chote eti ili savei iwe aproved.
Nimegharimia savei yangu miezi sita iliyopita hadi leo wananizungusha tu. Nikifuatlia mwenyewe wananimbia nimtume aliyesavei, Savea akienda wanamzungusha tuuuu kumbe wanataka hongo.
Hebu fikiria savei imekaa kwa Tibaijuka miezi sita , halafu anajifanya ni mchapakazi, kumbe anajua kuboma tu nyumba zikishajengwa . Ngoja nione itachukua miaka mingapi.
Ni hii Wiazara ya yule mama yangu wa Kanyigo AKA Prof. Tibaijuka. Kero yangu ni hao Masavea ambao hawasavei kitu cho chote badala yake wanasubiri wananchi wagharimie savei halafu wao waje kuomba cho chote eti ili savei iwe aproved.
Nimegharimia savei yangu miezi sita iliyopita hadi leo wananizungusha tu. Nikifuatlia mwenyewe wananimbia nimtume aliyesavei, Savea akienda wanamzungusha tuuuu kumbe wanataka hongo.
Hebu fikiria savei imekaa kwa Tibaijuka miezi sita , halafu anajifanya ni mchapakazi, kumbe anajua kuboma tu nyumba zikishajengwa . Ngoja nione itachukua miaka mingapi.