Bosi wa Manumba ni Farid Luwasha
Mie NIMEWASHTUKUIA! Wanataka kuhamisha hoja hawa! Waziri, DCI wanajua wanachofanya! Kama Mponda anajua Manumba ANADANGANYA, UKWELI anaojua yeye mbona hautoi? Ripoti ya Apollo si iko kwake? Mie hapa "nimenusa kapaka". Nna wasiwasi na safari ya Mwakiwembe huko India! Je, yaweza kuwa "The last Safari to Pagak"? (Kwa wale waliosoma Song of Lawino)!
Hujakosea, jamii inaonekana ilimsahau now watu wametambua upewepo wake japo kalikologamanumba kazi ya umbea umbea tu ili apate appearance allowance na kuuza sura tu
Utaratibu wa kujiuzuru kwa hiari hauko Tanzania miaka yote. Kwa hilo SAHAU mkuu!Manumba ni vyema angejiuzulu.
kiongozi yeyote hasa akiwa mwanajeshi halafu hajiamini mi ananikera sana,yani manumba keshajiona hana sifa za kupanda cheo kuwa IGP bila mbeleko ya lowassa??piga kazi mzee achana na lowassa atakupoteza kama alivyopotea yeye!huo u IGP Mnaoaidiana vichochoroni ni kujidanganya
SCREW 'EM! Serikali moja, chama kimoja, utawala mmoja lakini wanafanya kazi utadhani nchi ya wagagagigikoko na wale wa mgonenagonago!
Rais hajui anachosema Wazrii Mkuu, Waziri Mkuu hajui anachosema Rais, Spika hajui Rais alisema nini, Waziri hajui Waziri mwenzie amesema nini! Sijui wakiingiaga kwenye hivyo vikao vyao wanafanyaje kwa kweli!