Kishkwambi93
Member
- Sep 18, 2022
- 23
- 16
Wakuu kwa wenye uzoefu, je ni sahihi DMO kua Nurse mwenye Diploma (RN)?, uku wilaya ya Nkasi tuna sitofaham hyo kwa sasa. DMO kaenda kusoma aliemkaimisha nafasi ni RN na wilaya ina watu wenye sifa za kushika hyo nafasi.