chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,783
Kwa anayejua namna ya kupata barua za kujiunga na vyuo vya uganga( admission letter) tafadhali anifahamishe maana wizara walisema hawatatuma tena kupitia masanduku ya posta na badala yake watayaweka kwenye mtandao!!
Masomo yanaanza tarehe 3 Novemba lakini cha ajabu mpaka sasa hatujapata hizo admission letter tujue nini tunachotakiwa kufanya ikiwemo na maandalizi!!
Vyuo vyenyewe vipo mikoani hivyo inakuwa ngumu kujiandaa na kuripoti kwa wakati!!
Wakuu kwa anayeweza kujua utaratibu uko vipi tafadhali nahitaji msaada!!
Mods naomba usiuhamishe huu uzi ili niweze kupata msaada tafadhali..
Masomo yanaanza tarehe 3 Novemba lakini cha ajabu mpaka sasa hatujapata hizo admission letter tujue nini tunachotakiwa kufanya ikiwemo na maandalizi!!
Vyuo vyenyewe vipo mikoani hivyo inakuwa ngumu kujiandaa na kuripoti kwa wakati!!
Wakuu kwa anayeweza kujua utaratibu uko vipi tafadhali nahitaji msaada!!
Mods naomba usiuhamishe huu uzi ili niweze kupata msaada tafadhali..