Wizara: Ni sahihi kuchoma vifaranga na utaratibu unatambulika kimataifa, yarusha lawama kwa waliosambaza picha

Wangetupa hvy vipimo km kwel hvy vifaranga vingekua na mafua ya ndege
 
Wangetupa hvy vipimo km kwel hvy vifaranga vingekua na mafua ya ndege
walichotaka kuzuia ni tabia mbaya ya kutumia njia za panya...
wangesema wapime tu ni kuhalalisha hii tabia na mwisho wake tutaingiza virafanga vyenye ugonjwa...
umepita njia ya panya ni moto baaas....upime nini sasa....
 
Hivi kuna nchi inaruhusu uingizaji wa mifugo kwa njia za panya???? kama hakuna ni kwa nini?
 
Hiyo ni moja ya sababu lkn pia Tanzania imepiga marufuku vifaranga kuingia nchini for good yaani hata kibali hakipatikani so justification ya kuvichoma ni kubwa kwao.

Ok ,Mkuu kwani kama mnge virudisha mnge pungukiwa na nini ?
 
Vifaranga vilikuwa kwenye mabox tuna uhakika gani kama na wasomali hawakuwachomea mo,
 
Wizara iko sahihi ,Kuhusu bidhaa zisizo na ubora kama zimethibitika na mamlaka husika zinapigwa chini, mbona tunaùchoma vifaa fake vingi kutoka nje? ni mara ngapi vitu vimepatikana airport au bandari tena macontainer yanakamatwa na yanachomwa moto? je huwa tuna ugomvi na hizo nchi ambazo watanzania wamenunua bidhaa hizo? tatizo tumekubali kujenga undugu usio na tija na nchi jirani hivyo kupelekea kushindwa kusema hapana hata kwa mambo yasio na msingi, tukipata chickenpox ndo tutajua ni kwa nini serikali inakataza hao vifaranga.

Kikubwa ambacho kitaleta stability kati yetu na nchi zote za jirani, ni serikali ya Tanzania kuanza kutenga maeneo maalum kwa ajiri ya kuchungia mifugo hasa kwa wananchi wanaoishi maeno ya mipakani au karibu na mipakani.
Linalozungumziwa ni njia ya ukatili iliyotumika. Wewe unafananiza kuchoma moto kwa LOTION na kuchoma moto ROHO ya mnyama? Ikiwa unaweza kuchoma moto mnyama basi mtu huyu haoni tabu kuchoma moto binadamu mwenzake. Wangewapulizia gas tu basi hata mimi ningewapa ushirikiano wangu. Lakini kwa ile slow cruel death, it's worse than terrorrism! Tuombe Mungu awape hekima kwa maamuzi yajayo!

Kama kweli.wanavyosema kama hayo maradhi wanayo suspect hivyo vifaranga vianaweza kuwa navyo, basi na wao wangechukuwa more serious prevention measured kama vile kuvaa suitable gears kuepuka contamination! Kwa hivyo kwa njia moja au nyengine ni WAZEMBE kwa maisha yao wenyewe wachilia mbali kwa mali za watu! Kama hatujawa na busara nchi itakumbwa na njaa hii kwa laana kutoka juu!
 
Linalozungumziwa ni njia ya ukatili iliyotumika. Wewe unafananiza kuchoma moto kwa LOTION na kuchoma moto ROHO ya mnyama? Ikiwa unaweza kuchoma moto mnyama basi mtu huyu haoni tabu kuchoma moto binadamu mwenzake. Wangewapulizia gas tu basi hata mimi ningewapa ushirikiano wangu. Lakini kwa ile slow cruel death, it's worse than terrorrism! Tuombe Mungu awape hekima kwa maamuzi yajayo!
hakika mkuu ule ni ukatili wa hali juu kabisa,sasa kama maafisa mifugo waetu wana roho zile,je hao polisi wet watakuwaje? No wonder maiti kwenye viroba zinaokotwa kila leo
 
Huku ni kukomoana tu kama sio kutokuelewana kwenye rushwa, mwenye navyo aliomba avirudishe kenya kwani alikuwa hajavilipia tatizo lilikuwa wapi?

Baada ya kuchoma ndio jinai imeishia hapo? Sasa ngombe wa wanyankole wao hawana sotoka au ndigana? Huko si kuna Ebola au?
 
gesi ya sumu hasa carborn dioxide,pellets bullets,baada ya hapo ndio wanachoma moto ili kuzuia maambukizi,ila wizara yetu haikutuambia kuwa Kenya kuna avian bird fluu!!
So hatua waliyochukua ya kuhakikisha hawaingii nchini ni sahihi sema taratibu ndio walikosea
 
Kama sheria ni kupiga moto kila kitu kinachoingia kwa magendo zile range rover pale bandarini na vichwa vya treni kwanini hatujavipiga moto
 
Kama sheria ni kupiga moto kila kitu kinachoingia kwa magendo zile range rover pale bandarini na vichwa vya treni kwanini hatujavipiga moto
Huelewi, unadhani ni kukomoana. Vifaranga wakiingia na ugonjwa kama wa ukoma su anthrax wanaweza wakapukutika Watanzania wote, au kuku wote, au mimea yote. Wewe unashangaa kuchoma moto, ulishaona ugonjwa wa ukoma? Au wa nagana? Tatizo mnaangalia mambo juujuu. Kama sheria inasema wachome ujue hiyo ni sheria ya FAO, ya kimataifa.
 
Huelewi, unadhani ni kukomoana. Vifaranga wakiingia na ugonjwa kama wa ukoma su anthrax wanaweza wakapukutika Watanzania wote, au kuku wote, au mimea yote. Wewe unashangaa kuchoma moto, ulishaona ugonjwa wa ukoma? Au wa nagana? Tatizo mnaangalia mambo juujuu. Kama sheria inasema wachome ujue hiyo ni sheria ya FAO, ya kimataifa.
Vilipimwa vikakutwa na ugonjwa? Tarakea kule kuku anakula kenya analala Tanzania umewahi kusikia wanamafua?
 
Back
Top Bottom