Upande wa baba
Wanaume wanajuana wenyewe.... hasa kwa machafu yao! Wanajua nini wanafanya, wanajua ni jinsi gani kwa kiasi kikubwa wana manipulate wanawake.... Wanajua kwa kiasi kikubwa jinsi gani hua wana tabia za kishenzi. Baba anaposikia mtoto wake kapata mchumba hua anapata shock! (kwanza wengine wapo so naive hadi hudhani binti yake ni bikira bado hali binti tayari ni mkomavu na kama sio kutoa mimba angekua hata mama wa watoto hata wa 2-4); Anaanza mawazo ya yaani anaenda galagazwa kama ninavo galagaza wanawake wengine? yaani aende kuchezewa (hapa baba huona ni uchafu na kusahau kabisa kitu chaitwa mapenzi!) Humuuuuma sababu hapo ndio hukumbuka story zoote ambazo ziko disavantaged kwa wanawake alizo kua/anazo piga kijiweni, kwenye ma bar, na his fellow men ambazo huzungumza the way huwachezea wanawake..... na anatamani binti yake huyo arudi umri wa mia 10 kurudi chini when life was so simple na him (baba) ndio center ya maisha ya huyo mtoto.... The only true man for a long time.... na mabinti we love our fathers in a way it makes them feel so speacial as a man and a dad. Ndio maana wengine hadi huvuka mpaka na kulala na binti zao..... Sad.
Uzuri wa akina baba.... Once he comes to terms kua bintie anaolewa na akaolewa.... Wengi eventually wanakua at peace na mwanaume alie oa binti yake....
Kwa akina Mama
Sijui ni kwa nini ila Mungu ameumba yule mtoto wa kiume kumpenda saana mamake wakati mdogo... Hili nimeona kwingi. Mara nying mtoto wa kike hana habari na mamake na hua karibu na babake na she does not care about the Mom. Ndio maana mara nyingi mabinti huwa hawapatani sana na mama zao hadi wawe wakubwa/wazae/waolewe na the like.... Mama anaposikia mtoto wake anaoa.... Anachanganikiwa kabisa! kama ni mchafu na mshirikina naona na akili upaa.... Anakumbuka yote yale alowafanyia watoto wa wanawake wenzie.... mauchafu alo walisha, Jinsi alivo weza kufaulu kumvuta mumewe kutojali familia yao ipasavo na jinsi alivo in control na mambo mengi ya msingi ya huyo mwanaume. Inamuuuma kwamba mtoto wangu wa kiume nimekua nae karibu kwa miaka yoooote hii (kama ni 27 onwards or whatever) anakuja binti ambae kamfahamu juzi tu ndio awe in control? Nimemsomesha mtoto wangu hadi kawa na maisha na uwezo sana hivo anakuja binti kua in control? Anaingiwa na hofu..... kua sasa ndio ampoteza mwanae.... na asipokua makini binti atamzidi kete kwa mwanae!
Bahati mbaya kwa wanawake.... they do not come in term hata ndoa ifungwe..... Hili ndio hufanya vita kati ya mama mkwe na mkamwana kutokuja isha! Alafu bahati mbaya sana wanawake wengi wamekosa busara na hutaka shindana na wakwe zao badala ya kuwaelewa na kuwa ignore....
Baba na Mama siku moja walikua young.... na walifanya mambo ambayo walisahau kabisa kutafakari na kufikiria kua What goes around comes back around.....
Huo ndio mtazamo wangu....