Wivu ni kidonda

Wivu ni kidonda

Ukweli ni kwamba housemaid wenu anampenda huyo jirani yako. Ila ww ameshindwa kukukataa kwa vile ni mtoto wa boss wake,maana mkikataliwa mnaanzishaga visa ndani ya nyumba.

Hakupendi acha kumuonea.
 
Unatuambia utadhani tunammendea huyo housegirl wako.
Mwambie huyo jirani yako.
 
Wakati wa kukua lazma uanze na puli kwanza. Acha kuruka stage utaumia
 
Sasa si ujieleze kwa huyo binti ili akikukubali uwe na wivu halali manake huo wivu ulionao ni wivu usio halali labda jirani ndo anapiga mzigo hapo harafu we unaweka wivu wako
 
Back
Top Bottom