Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Nikikukamata naye, hoooo huna bahati.
Una umri gani mtoa mada!??
Story inasadifu umri, age ya kujifunzia kukata kiuno kwa beki tatu inajulikana
Duh!
Wee kama mimi enzi hizo. Copyright yani, kazi kweli kweli.
kweli wivu kidonda ukishiliki utakonda ..... endelea kula kwa macho
Good. Unajua inapakwa wapi, na muda gani?
hivi shule zimefungwa?
umefunga shule au ndo uliishia kwenye yale matokeo ya divisheni 5
Una umri gani mtoa mada!??
Wakati wa kukua lazma uanze na puli kwanza. Acha kuruka stage utaumia
Nipo na 24years old.
Unatuambia utadhani tunammendea huyo housegirl wako.
Mwambie huyo jirani yako.
Nipo na 24years old.
between 10 - 15. Ila huyu nahisi aliruka stage mpendwa!!!