ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
Nipo na 24years old.
24??!!! bado unapambania mabeki3, waachie madogo zako wajifunzie kugegeda ...............
Nipo na 24years old.
Jamani kuna msemo unasema kwamba "wivu ni kidonda ukishiliki ugua pole"
Mimi ni mtoto wa familia nimejionea huu msemo ni kweli baada ya kukatamani kabinti ka kazi (housemaid) na kananikubali ila tatizo nahisi pia kanachukuliwa na jirani yetu.
Huyu jirani akitoka kazini bila aibu anajipendekeza na binti anatoka (sijui huwa anaenda wapi) basi mimi ndio naanza kuugulia na maumivu ya moyo. Jamani wivu mbaya acheni kabisa wivu.
Usisahau tu kinga, dogo. Si unajua kinga ni nini?
yanaukweli hayo?Hebu jaribu mie nione au kuna watu maalum?Achana na jasho la hg, njoo ujaribu smthng u have never tried in ur life. I assure u that u ll never regret.
Nitamuanza vipi na hapa ni mjini? Siwezi jua ametingwa na nini akanitukana bure nikakoswa heshima hom
Mbona unacheka tena?
yanaukweli hayo?Hebu jaribu mie nione au kuna watu maalum?
pole bwana ... kula kwa macho tuTatizo hata home kama wanamchunga sana mda wote mama yupo ndani tu asisikie mlango umefunguliwa huyo katoka chumbani na kuita (jina la housemaid)
Ukweli ni kwamba housemaid wenu anampenda huyo jirani yako. Ila ww ameshindwa kukukataa kwa vile ni mtoto wa boss wake,maana mkikataliwa mnaanzishaga visa ndani ya nyumba.
Hakupendi acha kumuonea.
Nikikukamata naye, hoooo huna bahati.
between 10 - 15. Ila huyu nahisi aliruka stage mpendwa!!!
24??!!! bado unapambania mabeki3, waachie madogo zako wajifunzie kugegeda ...............
Achana na jasho la hg, njoo ujaribu smthng u have never tried in ur life. I assure u that u ll never regret.
Mi nikajua dogo fulani, kumbe angalau tulicheza wote kiasi fulani ingawa nilikuwa kakako mkubwa? Ebu toka nyumbani, kapange ghetto!
Nipo kwenye 20+th hiyo age ulioisema hapo juu nilikuwa nawakimbia wadada ingawa wengi wao walinipenda sana sababu ya akili na u_HB
Sasa si ujieleze kwa huyo binti ili akikukubali uwe na wivu halali manake huo wivu ulionao ni wivu usio halali labda jirani ndo anapiga mzigo hapo harafu we unaweka wivu wako
you can't be serious dude
miaka 24 bado unahisi wivu kwa beki tatu???
au hujawahi kupenda kabla ndo unajifunza kwa beki
Na stage ikirukwa lazma irudi tu hata kama mhusika ana miaka 90
Kumbe na wewe ulishakuwa House Boy. Wakatu unafanya u-HB mabinti wa mwajiri wako hawakukushobokea??