Wivu ni kidonda

Wivu ni kidonda

Jamani kuna msemo unasema kwamba "wivu ni kidonda ukishiliki ugua pole"

Mimi ni mtoto wa familia nimejionea huu msemo ni kweli baada ya kukatamani kabinti ka kazi (housemaid) na kananikubali ila tatizo nahisi pia kanachukuliwa na jirani yetu.

Huyu jirani akitoka kazini bila aibu anajipendekeza na binti anatoka (sijui huwa anaenda wapi) basi mimi ndio naanza kuugulia na maumivu ya moyo. Jamani wivu mbaya acheni kabisa wivu.
Housegirl hatongozwi dogo ww unavamia tu unapiga ngwala unaruka nae.
 
Sijawahi kuwa houseboy, ni kweli mimi ni HB nalifaham hilo pia mabinti kunitaka ni kama kawa tatizo mazingira ya league1 ni magumu hapa hom

Nani alikuambia wewe ni handsome?
1. Kioo unachojiangalizia
2 Dada zako?
3. Vijana wenzako wa kiume.

No.1 na 2 inawezekana ikawa si kweli.... ili upate faraja.
No. 3 inawezekana ikawa kweli.... Kuwa makini. Ogopa sana kujione uko handsome, kuna wanaume marijali humu. Usije ukasema sikukuonya
 
nakushauri kama umeshaongea nae nenda chumbani kwake chomoa ufunguo, usiku wazazi wakishalala wewe nyata taratibu hadi chumba cha beki3 mlango utakuwa haujafungwa na utajilia vyako taratibu, huyo jirani asikusumbue wakati mtoto anaishi kwenu!
nb: usisahau shule.
 
Nani alikuambia wewe ni handsome?
1. Kioo unachojiangalizia
2 Dada zako?
3. Vijana wenzako wa kiume.

No.1 na 2 inawezekana ikawa si kweli.... ili upate faraja.
No. 3 inawezekana ikawa kweli.... Kuwa makini. Ogopa sana kujione uko handsome, kuna wanaume marijali humu. Usije ukasema sikukuonya

Mbona hata mimi rijali. Issue inasimama balaa
 
nakushauri kama umeshaongea nae nenda chumbani kwake chomoa ufunguo, usiku wazazi wakishalala wewe nyata taratibu hadi chumba cha beki3 mlango utakuwa haujafungwa na utajilia vyako taratibu, huyo jirani asikusumbue wakati mtoto anaishi kwenu!
nb: usisahau shule.

Analala na mabinti washule chumbani kwake mkuu kayaman
 
Last edited by a moderator:
Hata wakaka walikuwa wanakupenda pia...si ndiyo!???

Msikitini na makanisani tunafunzwa kupendana. Wananipenda na mimi nawapenda pia ila ukija kwenye mapenzi nawapenda wadada wanono wenye michirizi ya miguu mimi hoi Mentor
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom