Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,633
Habarini wapendwa.
Kwa wale wakazi Dar wa maeneo ya mabondeni salam zenu za pekee najua muda huu mnawaza kama mtatoboa huu usiku wa leo hadi asubuhi bila kitembelewa na mafuriko ya maji ya mvua.
Anyways, twende kwenye topic. Jana nilikuwa na rafiki yangu, tukazungumza mengi sana na mojawapo ambalo lilishika hatamu kwa muda mrefu ilikuwa ni swala la mkewe kupenda kufuatilia simu yake sana na kupekea kuviolate privacy ya mume wake yaani huyu rafiki yangu.
Kimsingi, anasema mkewe anapenda sana kufuatilia simu yake unnecessarily. Yaani amekuwa ni mtu wa kudeal na simu ya mume wake kama vile mtoto anavyodeal na toi lake. Yaani mwanaume akirudi nyumbani anakuwa hana amani na sim yake kiasi kwamba anajikuta anaitumia kwa machale.
Mwanamke ameanzisha kamchezo, anakaa bila kuchaji simu yake halafu mume wake akirejea anajifanya simu yangu imezima chaji niazime simu yako nigoogle kitu.
Au atakuja kumkalia pembeni wakati anatumia simu achungulie mwanaume anafanya nini!
Muda mwingine atashika simu ya mumewe na kuanza kuperuzi picha za kwenye gallery kwa kuzikodolea macho as if anatazama album. Jamaa akiuliza anatafuta nini yeye anamuuliza au hapendi akishika simu yake?
Kuna siku usiku alichukua simu ya mshikaji akajipost, ilikuwa ni siku ya birthday yake. Jamaa anashangaa asubuhi comments za watu kwenye status yake wanamuwish shemeji birthday wishes. Akatazama anakuta picha ya mkewe imepostiwa na yeye hakupost kutazama muda akaona ni usiku ilipostiwa. Ndipo akajua wife amestrike again.
Nikamwambia hata mimi, my lady anapenda complain sana juu ya attention nakuwa simpi kipindi nikiwa nyumbani nae nipo busy na sim.
Yaani anataka muda wote nikiwa nae nisiguse hata sim nimtumbulie macho yeye tu. Tena bora nitazame TV kuliko kutazama simu. Ingawa yeye hanaga tabia ya kupenda shika shika simu yangu kama yule mke wa rafiki yangu.
So, swali kwenu wadau, hivi mnakutana na hii challenge au kuna watu wenu wa karibu wanapitia hii challenge?!
Kwa wale wakazi Dar wa maeneo ya mabondeni salam zenu za pekee najua muda huu mnawaza kama mtatoboa huu usiku wa leo hadi asubuhi bila kitembelewa na mafuriko ya maji ya mvua.
Anyways, twende kwenye topic. Jana nilikuwa na rafiki yangu, tukazungumza mengi sana na mojawapo ambalo lilishika hatamu kwa muda mrefu ilikuwa ni swala la mkewe kupenda kufuatilia simu yake sana na kupekea kuviolate privacy ya mume wake yaani huyu rafiki yangu.
Kimsingi, anasema mkewe anapenda sana kufuatilia simu yake unnecessarily. Yaani amekuwa ni mtu wa kudeal na simu ya mume wake kama vile mtoto anavyodeal na toi lake. Yaani mwanaume akirudi nyumbani anakuwa hana amani na sim yake kiasi kwamba anajikuta anaitumia kwa machale.
Mwanamke ameanzisha kamchezo, anakaa bila kuchaji simu yake halafu mume wake akirejea anajifanya simu yangu imezima chaji niazime simu yako nigoogle kitu.
Au atakuja kumkalia pembeni wakati anatumia simu achungulie mwanaume anafanya nini!
Muda mwingine atashika simu ya mumewe na kuanza kuperuzi picha za kwenye gallery kwa kuzikodolea macho as if anatazama album. Jamaa akiuliza anatafuta nini yeye anamuuliza au hapendi akishika simu yake?
Kuna siku usiku alichukua simu ya mshikaji akajipost, ilikuwa ni siku ya birthday yake. Jamaa anashangaa asubuhi comments za watu kwenye status yake wanamuwish shemeji birthday wishes. Akatazama anakuta picha ya mkewe imepostiwa na yeye hakupost kutazama muda akaona ni usiku ilipostiwa. Ndipo akajua wife amestrike again.
Nikamwambia hata mimi, my lady anapenda complain sana juu ya attention nakuwa simpi kipindi nikiwa nyumbani nae nipo busy na sim.
Yaani anataka muda wote nikiwa nae nisiguse hata sim nimtumbulie macho yeye tu. Tena bora nitazame TV kuliko kutazama simu. Ingawa yeye hanaga tabia ya kupenda shika shika simu yangu kama yule mke wa rafiki yangu.
So, swali kwenu wadau, hivi mnakutana na hii challenge au kuna watu wenu wa karibu wanapitia hii challenge?!