USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Baada ya U.K. na maeneo mengine duniani kujiunga kupinga utesaji, mauaji, kutangazwa vibaya na mabeberu kesho ndio kesho namuomba RC wa Dar mh Makonda awe mstari wa mbele maana na yeye alizuiwa kwenda USA kisa tu ni mweusi na tumeona balozi wa USA hapa nchini anavyotusumbua
1. Walikataa WB/IMFkutupa pesa ya MCC kwa umeme wa REA kwa kwa kisingizio cha matokeo ya uchaguzi Zanzibar
2. Walikataa WB wasitupe pesa ya kupambana na corona kwa chuki dhidi ya Rais wetu
3. Waliwazuia baadhi ya watendaji wakuu wa serikali kwenda USA
4. Wamekuwa na matamko mengi ya kusema Tanzania sio salama
5. Wamekuwa na matamko kila siku ya kusema kuwa eti corona ipo sana huku ikiwa imesha ,dhumuni ni kutuchafua th
Ndio muda wa kuonesha hasira dhidi ya mababeru na washirika wake kesho, kila mtanzania huu maana gavana wa Minnesota amesema wazi kuwa sio maandamano ya George pekee bali ni hasira za mateso ya watu weusi duniani na sisi pia tumeathirika na ubabe wa mabeberu
USSR
1. Walikataa WB/IMFkutupa pesa ya MCC kwa umeme wa REA kwa kwa kisingizio cha matokeo ya uchaguzi Zanzibar
2. Walikataa WB wasitupe pesa ya kupambana na corona kwa chuki dhidi ya Rais wetu
3. Waliwazuia baadhi ya watendaji wakuu wa serikali kwenda USA
4. Wamekuwa na matamko mengi ya kusema Tanzania sio salama
5. Wamekuwa na matamko kila siku ya kusema kuwa eti corona ipo sana huku ikiwa imesha ,dhumuni ni kutuchafua th
Ndio muda wa kuonesha hasira dhidi ya mababeru na washirika wake kesho, kila mtanzania huu maana gavana wa Minnesota amesema wazi kuwa sio maandamano ya George pekee bali ni hasira za mateso ya watu weusi duniani na sisi pia tumeathirika na ubabe wa mabeberu
USSR