Unachokifanya wewe ni kukimbiza upepo au kwenda kuikausha bahari, sidhani kama utafanikiwa kwa hilo. wewe endelea tu kunufaika na huu mfumo kandamizi wa CCM lakini note it kwenye Ubongo wako kwamba ur days are numbered.
Ni CCM peke yake ndio imebakia madarakani katika vyama vyote vilivyokuwa tawala barani Afrika. unapaswa kujiandaa kisaikolojia kuanzia sasa.
Pole Preta, nimesisitiza sio lazima iwe ni inside job!, it migh be an "amaizing coincidence"!. Nijuavyo mimi, wale vijana wa kazi!, They never do incomplete job!. They have 1001 ways to do "mission complete" za vanish without trace!, kuliko hii "mission imposible" iliyotokea!.
Utaifa "patriotism" ni kupenda nchi yako na watu wake wakiwemo ...!.
Kupigwa kwa Dr. Ulimboka, kumepelekea kutengenezwa kwa "conspiracy theories" mbalimbali kuhusu tukio hilo, na wengi ambao sio deep thinkers, wamesha reach conclusion kuwa hiyo ni "inside job" na imefanywa na vijana wa 'sehemu' wajulikanao kama "the oparatives" ndani ya 'sehemu'!, hivyo ni muhimu sana rais JK kama Amiri Jeshi Mkuu, kwenda kumfariji Dr. Ulimboka, with "genuine heart felt feelings za pole" katika move ya kuuthibitishia umma kuwa uvamizi ule is not "inside" job, bali umefanywa na wahalifu, kama uvamizi mwingine wowote!
Nafikiri Nyuzi nyingine zinaanzishwa makusudi kupima public opinion.
Wambie tu kwamba Kitendo hicho walichokifanya kimezidi kuwatenga na wananchi na hakitawasaidia na hata kama wangefanikiwa kummaliza isingewasaidia.
Kinachotakiwa ni kutatua kiini cha matatizo na sio mabavu
Get well soon dr.....
sijui kwa nini habari hii imenijengea kinyongo kibaya namna hii na serikali yangu.......
Pole Preta, nimesisitiza sio lazima iwe ni inside job!, it migh be an "amaizing coincidence"!. Nijuavyo mimi, wale vijana wa kazi!, They never do incomplete job!. They have 1001 ways to do "mission complete" za vanish without trace!, kuliko hii "mission imposible" iliyotokea!.
Utaifa "patriotism" ni kupenda nchi yako na watu wake wakiwemo ...!.
JK kwa unafiki wake lazima ataenda tu. I hate JK FOREVER.
Get well soon Dr Ulimboka!
Ila Pasco umenichekesha, umaanisha wende kumuona Dr kisa eti JK naye ataenda.
Eti natabiri JK ataenda MOI nami natoa wito JF kwa umoja wetu tuende.
Umeniacha hio mkubwa. Twende kasababu JK ataenda au ni ubinadamu tu hata kama JK hataenda.
Mkuu Ndahani, nimeziweka mbili hapaPasco, can you share any one of those conspirancy theories? Mimi binafsi bado sijajua kama zipo.
Mkuu Ndahani, nimeziweka mbili hapa
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/284602-mkasa-wa-dr-ulimboka-inawezekana-kabisa-sio-inside-job-bali-ni-smear-campaign.html#post4139672