LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Aombe kabudi kwanza..
Labda wafanyakazi wasiojitambuaHiyo ni weakness kubwa Sana aliyo ifanya Tundu lissu hivyo CCM wameamua kuitumia hiyo weakness kujijengea Imani kwa wafanyakazi na kuwapandikiza chuki dhidi ya Lissu.
Tena Mgombea urais Kupitia CCM amekazia kauli hiyo kwa kuwasemea walimu, manes, madaktari na vyombo vya Dora kuwa wao ndo wanaitwa na lissu takataka kutoka majalalani.
Ogopa Sana watu wanaitwa wanasiasa.
Umeambiwa tunajenga reli hatuongezi mshahara, tunajenga bwawa la kuzalisha umeme hatuongezi mshahara.Wakuu hapa mnaongelea wafanyakazi wa ngazi ipi? Je, mnaongelea wafanyakazi wa serikalini tu? Je, ratio ya wafanyakazi wa Serikalini pamoja na Mashirika ya umma ni asilimia ngapi? Kwa maoni yangu sioni kiongozi yoyote makini kupandisha mishahara bila kuangalia uchumi wa nchi unafanyaje.
Unaongelea uchumi upi?Umeambiwa tunajenga reli hatuongezi mshahara, tunajenga bwawa la kuzalisha umeme hatuongezi mshahara.
Hivyo tatizo siyo uchumi ni kipaumbele
Katika lugha zote ni kawaida kukejeli mtu kwa kutumia wingi badala ya umoja. Linguistics 101Acha kupotosha jamii uliona kawataja kina kabudi katika Matamushi yake au alitaja wafanya kazi kwa ujumla.
Hivi nikweli mpaka umefika hapa hujui kutofautisha wingi na umoja.
Kwapamoja tumushauri lissu apunguze kujishushia hadhi katika jamii.
Huyo kichaa hajui siasa na ni mtu mshenzi tu. Kuna manyumbu yamekua yanamsifia kama ana akili wakati ni wakili mweledi wa kuuzia wenye hela haki. Siasa hajui wala sio mtu mwadilifu ndio maana amejiuza kutetea mabeberu.Wewe mkuu siyo mfanya kazi wa serikali kwahiyo kaa kimya maana siyo wewe uliye itwa takataka kutoka jalalani.
Sidhani ka wafanyakazi watakua na akili ka zako na huyu magufuli wako, Ikiwa ni hivyo nitamuunga mkono Lisu kufumua mfumo wa elimu, maana itakua haijawasaidia. Huyo Magufuli alimpa kazi Kabudi ya kuteuliwa na wakati alikua mwalimu wa chuo cha ajabu anasema anamshukuru Magufuli kumpa kazi maana amemtoa jalalani. Na hakuna sehemu Magufuli alishakanusha kua hapana sikukutoa jalalani ili niliangalia uwezo wako.Tundu Lissu nakuomba Sana Kama unataka upate angalau asilimia 20% za Kura za Watanzania nakuomba Sana jitokeze mbele ya media uombe msamaha kwa wafanyakazi wote wa kuteuliwa na wakuajiriwa na serikali iliyo chini ya rais Magufuli Baada ya kuwaita takataka na majalala.
Tundu Lissu nilikushauri kukaa kimya badala ya Rais Magufuli kukutega na mtego mdogo kabisa wa kusema; "Mwambieni kijana wenu aachane na urais nitampa kazi ndogondogo anayoiweza" Magufuli.
Kwavile nakufahamu vizuri kuhusu matamshi yanayotoka kinywani mwako nilikuja haraka Sana nikakupa ushauri kuwa usijibu chochote juu alichosema Magufuli Bali mpuuze tu ujifanye Kama hujasikia Ila hukisikia ushauri Wangu.
Hatimaye ukaamua kwenda kujibu mbele ya watu kuwa; "mwambieni Rais Magufuli Akawape kazi hao matakataka anao waokota majalalani na siyo Mimi"
Itoshe tu kusema Baada ya kauli yako kundi kubwa la wafanyakazi lililokuwa linakuona wewe Kama mkombozi wao na mpigania haki zao wamepoteza kabisa Imani kwako na wanakuona Kama mnafiki na Sasa hivi hasira zao zimehamia kwako kwa kuwaita wao takataka wanao okotwa majalala.
Mwisho; CCM iliamua ikutege na ukategeka ona Sasa hivi wanaitumia kauli yako kwenye majukwaa kuwanyeshwa Sumu ya kuzidi kukuchukia wafanyakazi ulio waita majalala.
Tundu lissu nakushauri tena usipende kujibu Kila unacho chokonolewa na wapinzani wako, wenzio siasa wanaijua na mbinu wanazo. Wewe siasa huijui Bali Ni mwana harakati mzuri na kwa Nafasi yako hiyo inayogombea uanaharakati siyo mahali pake na wapinzani wako wanaitumia hiyo weakness yako ya uanaharakati kukuchokonoa kwa vijembe vidogo vidogo wakijua wazi kabisa utajibu kiuanaharakati na matusi juu.
Ahsante nawasilisha!
Jitahidi kuficha ujinga wako basi, au nenda kijijini kwenu ndo kawadanganye huo ujinga wakoHiyo ni weakness kubwa Sana aliyo ifanya Tundu lissu hivyo CCM wameamua kuitumia hiyo weakness kujijengea Imani kwa wafanyakazi na kuwapandikiza chuki dhidi ya Lissu.
Tena Mgombea urais Kupitia CCM amekazia kauli hiyo kwa kuwasemea walimu, manes, madaktari na vyombo vya Dora kuwa wao ndo wanaitwa na lissu takataka kutoka majalalani.
Ogopa Sana watu wanaitwa wanasiasa.
Mimi ni mfanyakazi ila sijaitwa wa jalalani na lisu na sijapewa kazi na magufuli lambda Mh. KABUDI ndio wa jalalani😁😁😁😂Wewe mkuu siyo mfanya kazi wa serikali kwahiyo kaa kimya maana siyo wewe uliye itwa takataka kutoka jalalani.