Mr Tyang
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 1,728
- 6,803
- Thread starter
- #61
Nyie ndo mtachangia lissu asifikishe hata 10% ya Kura za Watanzania maana mnatetea kila kitu Hadi vya kijinga hamjui ndo mnaamuangamiza mwenzenu.Yaan ccm wamekosa sera wameishia kuweka sera ya jalala kama kutafuta huruma kwa wananchi,alieutwa jalala ashajitangaza mwenyew,nashangaa magu kapanik na imekuwa ajenda kweny kampen wakt ndo wenyew wanejitangaza.Lisuu endelea kukandamiza mapunch ya nguvunguvu kweny kidondaa tushaanza kuskia makelele huku
Acha tunaoshauri tuonekane wabaya Leo ili baada ya uchaguzi mkumbuke ushauri wetu huu tunao wapa leo.