Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Kumbe kazi mojawapo ya ccm ya magufuli ni kupandikiza chuki kwa wananchi?? Du! Kweli mmeishiwa pumzi 😁😁😁Hiyo ni weakness kubwa Sana aliyo ifanya Tundu lissu hivyo CCM wameamua kuitumia hiyo weakness kujijengea Imani kwa wafanyakazi na kuwapandikiza chuki dhidi ya Lissu.
Tena Mgombea urais Kupitia CCM amekazia kauli hiyo kwa kuwasemea walimu, manes, madaktari na vyombo vya Dora kuwa wao ndo wanaitwa na lissu takataka kutoka majalalani.
Ogopa Sana watu wanaitwa wanasiasa.