Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Hizi ndio Takataka Lissu alizokuwa anamaanishaAcha kupotosha na kutete ujinga Mkuu,
Mbona hata mtoto wa dalasa la nneD anauwezo wa kutofautisha sentensi iliyo katika Mfumo wa Wingi na Umoja.
"Mwambieni akawaajiri matakataka hao anaowatoa majalalani na siyo mimi" T.lissu
Je Kuna jina la prof Hapo?
Je hiyo sentensi ipo katika umoja?
Siasa zisitufanye tuwe vipofu wa akili.