Wito: GP Said Mwema Jiuzulu

Wito: GP Said Mwema Jiuzulu

Simple logic Mwema akaulize kituo cha kupigia kura Polisi kati hapa Arusha nani aliongoza??? Kwa taarifa yenu msiojua CDM walipata zaid ya 75% hiyo inamaanisha Mwema anawalazimisha polisi kufanya jambo ambalo hata wao hawalipendi. Ni busara akajiuzulu kuliko kuwa kiongozi wa kuongoza maelekezo ya CCM. Its shame
 
Na pengine itakuwa vema wale wote waliowaanda wanachama wao kupambana na jeshi la polisi wajiuzulu

Na hapa bila kumumunya maneno Slaa, Mbowe wajiuzulu??? siasa imewashinda wanataka kupambana??

Wajiunge na jeshi kwani jeshi kazi yake ni kupambana na wavunjifu wa sheria na wachochezi

Eti tunataka nchi isitawalike kama hiyo maono ya Slaa! basi kero kwa jamii yetu lol

Nchi isipotawalika anapata faida gani? au kwakuwa hana family ana vipenzi vya muda tu????

Wee taahira wangu hii michango yako ni ushahidi wa uchochezi kwa serikali dhalimu. Subiri kesi ICC na wewe utahusishwa.
 
Kwisha habari yako wale wale wanachama wa cdm...ngoja mvunjwe miguu...

Kama kwenye laptop unatukana kwa kosa hoja ..kwanini nisiamini kuwa ndivyo mlivyo

eti na wewe utakuwa mbunge ..what a worst?

......ficha upumbavu wako........!
 
SAID Mwema inabidi utubu sana kwa ulichokifanya. Hivi gharama za kuwalipa allowance askari toka TANGA na KILIMANJARO zinatoka wapi? Mbona hospitalini hakuna madawa? Madawati shuleni hakuna? Ila kujaza magari mafuta na kuzurura na kuuwa watu mnaweza? Pale kaloleni wameua mtu ambae hata kwenye maandamano hakuwepo. MUOMBENI MUNGU SANA AWASAMEHE MAANA DAMU ZA HAWA WATU ZITAKUWA JUU YENU( Yaani juu ya POLISI na Chama chao na Viongozi wao)
 
Naunga Mkono Hoooooooooja AJIUZULU. Lkn Wanamageuko Kukubwa kwetu Chadema ni jinsi tunavyoteka wananchi Ukweli tunapoelekea ni pazuri kwa ujenzi wa Chama chetu, suala la Arusha limepelekea kuwafunua Upeo wengi kuona mustakabali wa Uongozi wa ubabe na wa ubabaishaji wa Serikali ya Ccm na vyombo vyake. Jk, Nahodha,Mwema na Ccm watambue wananchi wa leo waelewa na wanatambua Chama bora na Kiongozi Bora, Mawazo yenu Mgando yataendelea kuwagharimu ktk kizazi hiki cha waelewa.
 
hana wema tena, siamini msomi kama yeye anafanya mambo ya kipuuzi , naye naodha nafikili wamuache aoze tu hana maana anasubiri watu wanaded ndio anataka mazungumzo, madai si ya haki, ndio Maana watu kama Alfred Tibaingana alikuwa akitumia akili sana nyakati kama hizi hakuwa na mgebe kama za ili lijamaa, IGP ulimwengu unakuonaje unayetumia nguvu hivi , majambazi yamekushinda unapambana na CDM ukiona nchi ina police wanakaribiana na idadi ya Raia ujue hakuna Amani tena kazi kuchungana na kumfarahisha mfalme upate ugali, gwalide mnaomchezea alitoshi mnachezea damu za watu, sasa utaungana na Zombe aliyezomba wa Moro maana uumearibu jina lako sio mwema tena ila kaburu
 
Saidi Mwema ni lazima ajiuzulu kwa mauaji haya. La sivyo Mungu atamshushia laana kali sana kwa damu za watu hawa wasio na hatia waliopoteza maisha yao. Huyu ni muuaji, lazima ajiuzulu mara moja huku akisubiri zamu yake ya kwenda The Hague.
nyinyi hebu tulieni muiache serikali ifanye kazi
unaposema lazima ajiuzulu unamaanisha wewe ni nani katika nchi hii?
 
Na pengine itakuwa vema wale wote waliowaanda wanachama wao kupambana na jeshi la polisi wajiuzulu

Na hapa bila kumumunya maneno Slaa, Mbowe wajiuzulu??? siasa imewashinda wanataka kupambana??

Wajiunge na jeshi kwani jeshi kazi yake ni kupambana na wavunjifu wa sheria na wachochezi

Eti tunataka nchi isitawalike kama hiyo maono ya Slaa! basi kero kwa jamii yetu lol

Nchi isipotawalika anapata faida gani? au kwakuwa hana family ana vipenzi vya muda tu????

Crap!
 
Ni sawa kabisa inaonekana kazi imemshinda.
 
naunga nkono na miguuu na kila kitu isipokuwa..hoja yako.
 
Oyiii nyinyi chama cha mafisadi msitake kutuzingua na kufanya hii nchi ya baba zenu...msitufanye sisi wajinga na wewe TOPICAL kwanza umekunywa maji ya chooni???huoni huruma watu wanakufa bila hatia na chadema alipewa kibali???bado unakuja na kuongea bangi zako....IGP mwema ajiuzulu la sivyo zake zitafika tu...damu haimwagiki bure...polisi ana mamlaka gani kusitisha maandamano????
 
Back
Top Bottom