RAJ PATEL JR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 743
- 169
Hey Acid,
Good point lakini naamini Dr. Atawalipua tu muda muafaka utakapofika. Ila mimi nilichogundua kutoka kwa Dr. anapasua bomu kwa hatua alafu anawaacha CCM waanze kukurupuka na kujikanyaga. Nafikiri tumeyaona juzi kuhusu Mama Salma na ndege ya serikali. Sasa hivi serikali ina maswali mengi ya kujibu kuhusu hiyo ishu na UPUPU walioutoa hadharani.
Lets wait and see what story the government will come up with.
The problem with Slaa and other leaders of the opposition is based on the fact that they don't have credible evidence to support their baseless allegations. If he does, then why can't he let the chips fall as they may in the open? He hates Indians, he's anti-business, anti-foreign investments. What's wrong with RITES/TRC? TRC is in much better shape after falling in the safe hands of RITES. This is lack of appreciation! He's sooo xenophobic, and the majority of Tanzanians are too smart to elect people like Slaa.
Vote CCM, Vote JK