With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

Happy b'day kaka Mungu akupe miaka mingi hapa duniani. Ila kuna kitu kimenishtua kuhusu mtoto wangu hii vita naona haitaisha
Nashukuru sana nitonye ila naamini hiyo vita itaisha tu tukikaa meza moja na kuzungumza!
 
Last edited by a moderator:
kaka Erickb52 upo dipper leo umebadilisha kweli nataka nije kufuta poop
 
Last edited by a moderator:
Haswaaaa....
Halafu sijui kwa nini huwa nikiona jina lako nakumbuka siku ya kwanza nilivyokukaribisha JF...hahaha

hahahaaa, nami nikiona jina lako nakumbuka lillejibu ulilotoa kwenye ile thread yangu niliyotaka mnijibie swali langu la 'cheupe kama maziwa' teh teh!
 
hahahaaa, nami nikiona jina lako nakumbuka lillejibu ulilotoa kwenye ile thread yangu niliyotaka mnijibie swali langu la 'cheupe kama maziwa' teh teh!

Hahah hebu nikumbushe basi binti yangu...unajua nshasahu lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…