mbung'o muba
Member
- Apr 2, 2012
- 10
- 1
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............
Its a means to an end..., kama hao kenge wakisaidia kumwondoa mjusi (CCM), who cares.., after all sisi ambao hatuamini vyama (bali upinzani) tunafurahia kifo cha CCM ambacho kitaleta upinzani wa kweli
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............