Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,740
Wana JF,
Microsoft imetangaza kutoendelea kutoka king a kwa watumiaji wa window XP is, na sasa yamebaki chini ya Massa matatu tu. Ikumbukwe pia kuwa watumiaji wakubwa wa OS hii ni mabenki kwenye mashine za kutolea Fedha. Je, Fedha zetu zitakuwa salama?
Microsoft imetangaza kutoendelea kutoka king a kwa watumiaji wa window XP is, na sasa yamebaki chini ya Massa matatu tu. Ikumbukwe pia kuwa watumiaji wakubwa wa OS hii ni mabenki kwenye mashine za kutolea Fedha. Je, Fedha zetu zitakuwa salama?