Windhock na Heineken zinachakachukuliwa?

Windhock na Heineken zinachakachukuliwa?

Tumezinywa sana mitaa ya Mapelele na DDC hadi Tazara (Bulongwa)
Hahahaaa bulongwa Kwa yule faza mkinga karibu na kanisa la mwasiposya..aah kitambo mwanangu hapo tazara bulongwa tumekula sana gambe..mapelele,DDC sana tu..hivi ile power pub kule soko juu bado ipo?
 
Bia nzuri sana, kinachonikera nikikaa na safari langu kubwa eti kuna watu wananishangaa mwanamke nakunywaje safari si ningekunywa savanna!!! mi nikiiangalia naona imeandikwa haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18, haijaandikwa haiuzwi kwa wanawake.....

Nasmile, nabeba chupa langu naendea kumimina povu mdomoni.....wanikome [emoji57][emoji57] ninywe savannah nimewaambia nna upungufu wa nyegge???
Nimecheka mbele ya watu halafu kwa sauti,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naamini Evelyn Salt kwa life la kawaida una vituko sana
 
Back
Top Bottom