Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,733
Piga safari lager kubwa....utanishukuruExactly, nilikandamiza kadhaa Sasa the next day nilikuwa nina special duty aroo full maruweruwe!
Piga safari lager kubwa....utanishukuruExactly, nilikandamiza kadhaa Sasa the next day nilikuwa nina special duty aroo full maruweruwe!
Amen kaka mkubwa“Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako.”
Mhubiri 9:7
Piga safari lager kubwa....utanishukuru
Hamna, mi ndio bia yangu pendwa safari kubwa ya moto.....ooohhh hallelujah.Unataka tutume salamu za rambiramb
[emoji38][emoji38][emoji38]“Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako.”
Mhubiri 9:7
Kunywa maji mengiKama zinachakuchuliwa,ini na figo sijui zitakuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We soda inakusaidia nini?
Mmebakia kujifanya watakatifu tu
Kumbe wanafki wakubwa
Ova
Ahahaha. Acha pombe mkuu. Najali afya yako ya mwili na rohoni pia.We soda inakusaidia nini?
Mmebakia kujifanya watakatifu tu
Kumbe wanafki wakubwa
Ova
Ndo bia yangu hiyo ila nilikuwa nakwepa hangover kumbe nimekwepa maji nimekanyaga topePiga safari lager kubwa....utanishukuru
Usimwambie aache mwambie anywe kistaarabuAhahaha. Acha pombe mkuu. Najali afya yako ya mwili na rohoni pia.
Miaka ya nyuma huo upuuzi haukuwepo ilikuwa hata unywe kreti unaamka asubuhi unaendelea na mishe zako!Mabibo km wameanza mambo hayo
au double Kiki[emoji44]Piga balimi
Bia nzuri sana, kinachonikera nikikaa na safari langu kubwa eti kuna watu wananishangaa mwanamke nakunywaje safari si ningekunywa savanna!!! mi nikiiangalia naona imeandikwa haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18, haijaandikwa haiuzwi kwa wanawake.....Ndo bia yangu hiyo ila nilikuwa nakwepa hangover kumbe nimekwepa maji nimekanyaga tope
Mmh witty umenikumbusha bia bingwa 😁😁, watu walikua wanakunywa wanajipupuliaPiga balimi
Hizi bia si zinatoka nje kwanini wahusika wasifuatilie kulinda ubora wa bidhaa zao?heineken ndio inaongoza kwa feki. ukinywa mbili tu lazima kichwa kiume na kuona mawenge
ninywe savannah nimewaambia nna upungufu wa nyegge???Bia nzuri sana, kinachonikera nikikaa na safari langu kubwa eti kuna watu wananishangaa mwanamke nakunywaje safari si ningekunywa savanna!!! mi nikiiangalia naona imeandikwa haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18, haijaandikwa haiuzwi kwa wanawake.....
Nasmile, nabeba chupa langu naendea kumimina povu mdomoni.....wanikome [emoji57][emoji57] ninywe savannah nimewaambia nna upungufu wa nyegge???
Piga safari lager kubwa....utanishukuru
Haswaaa hiyo ndiyo bia na haijui kufanyiwa promotion.