emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,249
Hahaha eti upungufu wa ny*ge, napendaga wakina dada au mama ambao hawaishi kwa maigizo, wanakunywa wanachokipenda regardless sijui nini, hao wanywa savanaa wengi hawajinunui wao, ila ww hata ukiwa na buku tano unagonga unapata stimu, taratibu home.Bia nzuri sana, kinachonikera nikikaa na safari langu kubwa eti kuna watu wananishangaa mwanamke nakunywaje safari si ningekunywa savanna!!! mi nikiiangalia naona imeandikwa haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka 18, haijaandikwa haiuzwi kwa wanawake.....
Nasmile, nabeba chupa langu naendea kumimina povu mdomoni.....wanikomeninywe savannah nimewaambia nna upungufu wa nyegge???
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
