kibaWaKitaa
Member
- Apr 26, 2021
- 26
- 55
Ohhooooo.....
Naona nimepotea jukwaa...
Mapenzi yana run duniaTukianza na mm km mm wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO"..kwa nn mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana ila naeza sema utunzi wake umejitoshelezaa.!
Ww je ni upi wimbo wako pendwa na kwann!?View attachment 1786057
Kumbe unajiita Kiba duhTukianza na mm km mm wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO"..kwa nn mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana ila naeza sema utunzi wake umejitoshelezaa.!
Ww je ni upi wimbo wako pendwa na kwann!?View attachment 1786057
Chokochoko alizianzisha ili arudi kwenye chat,kwani kipindi yeye anarudi Mondi tayari yupo juu kimziki na number one ikachukua tuzo 3 channel 0 na ilimboost.My everything hili ni songi la mwisho baada ya hapa alikaa miaka mitatu bila kufanya mziki ndio chokochoko zikaqnza na mondi ikabidi arudi tena kwenye mziki....
Nikahisi msiba ndo umefika" aliki ana nyimbo moja tu my everythingTukianza na mm km mimi wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO".
Kwanini mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana ila naeza sema utunzi wake umejitoshelezaa.!
Wewe je ni upi wimbo wako pendwa na kwanini!?View attachment 1786057
Nakazia hapa, bonge la wimbo lisilochuja!Mac Muga. One of the best song
Album yote ya Cinderella ilikuwa ni FIRE, FIRE, FIREEEE.Tukianza na mm km mimi wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO".
Kwanini mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana ila naeza sema utunzi wake umejitoshelezaa.!
Wewe je ni upi wimbo wako pendwa na kwanini!?View attachment 1786057