Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,478
- 2,834
Me kwenye hiyo album kuna dude nalikubali linaitwa BHOKE dah! Hiyo ngoma hatari sana! Mwamba kaimba sana humoAlbum yote ya Cinderella ilikuwa ni FIRE, FIRE, FIREEEE.
Kuna goma moja humo unaweza kusikiliza tu ukashiba ukalala.
Goma linaitwa Sabrina
Alikiba ni moja ya wasanii ambao hawatumii nguvu kubwa kuandika hits.