Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Jamaa mmoja alikuwa anapenda sana kujisaidia muda wa usiku, hiyo tabia mkewe alikuwa haipendi kweli mana ye ndo msindikizaji. Cku moja kama kawaida jamaa haja imembana, akamwamsha mkewe amsindikize msalani, mkewe akakataa, ila akamwambia chukua radio usikilize ili ucwe mpweke, jamaa akabeba radio akatoka nje kwenda msalani, kumbe kasahau maji ya kunawia, punde akarudi, ile kuingia ndani harufu ya kinyesi inasikika, mkewe akamuuliza
mke: vp mwenzetu, mbona kuna harufu ya kinyesi?
Mme: yani we acha 2 mke wangu, nilipofika msalani wakati nataka kuanza kujisaidia, si wakapiga wimbo wa taifa radioni, sasa kwa kuuheshimu wimbo wa taifa ikabidi nicmame, kwahyo nimejisaidia nikiwa nimesimama, na maji nimesahau
mke: hli balaa sasa.
mke: vp mwenzetu, mbona kuna harufu ya kinyesi?
Mme: yani we acha 2 mke wangu, nilipofika msalani wakati nataka kuanza kujisaidia, si wakapiga wimbo wa taifa radioni, sasa kwa kuuheshimu wimbo wa taifa ikabidi nicmame, kwahyo nimejisaidia nikiwa nimesimama, na maji nimesahau
mke: hli balaa sasa.