mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 908
Punguza jazba mkubwa!upuuzi mtupu! kwani mfanano wa mahadhi una maana yoyote? jiulize hili kwanza.hao south africa na zimbambwe kufanana kwa wimbo wao wa taifa na wetu sisi tunafaidika nao nini?. au una maana gani hasa ya msingi kuanzisha hii thread?.... ni kutaka kuzungumzia ubaguzi huna lolote!! sababu "zanzibar" Wamekukamerooni nini?