Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
hayo maandishi ya muziki (nota) yananikumbusha somo la muziki nikiwa form one and two enzi hzo. Nilikuwa nalipenda sana somo la muziki!!!
Naupenda sana wimbo wa Ehe Mungu unikoe wa kwaya ya mfalme kizito makuburi, utunzi wake Bernard Mukasa!!!
Tiba
Mimi napenda sana wimbo wa "Ave Maria" (sina hakika kama unaitwa hivyo), ulitungwa na jamaa mmoja wa Dar. Nimejaribu kuutafuta kwenye you tube siupati. Ni mzuri sana.