The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
1.Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, nalimtafuta nisimpate.
2.Nikasema, haya, niondoke nizunguke mjini, ktk njia zake za viwanjani, nimtafute mpendwa wa nafsi.Nikamtafuta nisimpate.
3. Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?
4.Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi yangu;
Nikamshika nisimwache tena,
Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani mwake aliyenizaa.
5.Nawasihi, enyi binti za JF kwa paa na kwa ayala wa porini msi...
2.Nikasema, haya, niondoke nizunguke mjini, ktk njia zake za viwanjani, nimtafute mpendwa wa nafsi.Nikamtafuta nisimpate.
3. Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?
4.Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi yangu;
Nikamshika nisimwache tena,
Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani mwake aliyenizaa.
5.Nawasihi, enyi binti za JF kwa paa na kwa ayala wa porini msi...