Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Mipasho na Taarabu vipo WCB a.ka. wachafu wa roho.Naona mfalme wako anaimba mipasho ili apate kiki
Mipasho na Taarabu vipo WCB a.ka. wachafu wa roho.Naona mfalme wako anaimba mipasho ili apate kiki
Kama anajiamini mbona anarusha taarabu na vijembe Cha ajabu anarusha vijembe hata kwa Harmonize ambaye hana hata miaka 5 kwenye gameMipasho na Taarabu vipo WCB a.ka. wachafu wa roho.
Wewe endelea kufagia hizo ofisi za WCB, ya Mastar huwezi kuyajua.Kama anajiamini mbona anarusha taarabu na vijembe Cha ajabu anarusha vijembe hata kwa Harmonize ambaye hana hata miaka 5 kwenye game
Itakua umekuja mjini kipindi hiki cha awamu wa 5, kaa kaa kwanza uzoee mazingira, huwezi kuyajua ya watoto wa mjini.Mwanamme kujita Bisho ni aibu asili ya neno wengi hawalijui linatokana na Bi Shoga.
Huyu jamaa siku hizi amekua anasafiria Daimond na KIKI ili aonekane maana mara amtumie Hamisa. Nakulazimisha u-KING tujiulize amechangia nini kwenye huu mziki? Nilikua namkubali kwa leo ameniangusha
Itakua umekuja mjini kipindi hiki cha awamu wa 5, kaa kaa kwanza uzoee mazingira, huwezi kuyajua ya watoto wa mjini.
Itakua umekuja mjini kipindi hiki cha awamu wa 5, kaa kaa kwanza uzoee mazingira, huwezi kuyajua ya watoto wa mjini.
Hahaha kwa hiyo kusema ni mdogo wako wa tatu ndio tukuone mkubwa au?Bora nikuache Mimi mjini sikuja kwa bus wala boat, huyo Ali tunamjua vizuri ni rika na mdogo wangu wa tatu. Hizi lugha mnatumia maneno bila ya kuyajua asili yake ndio shida ilipo. Ni kizazi hiki kisiojua lugha ndio mnajiita tu majina au mnatumia maneno bila ya kuyajua mzizi wa neno
Jamaa amekuwa utopolo mwenzake now day amefocus kwenye media yake hatagemei tu mziki pekee ndio maana hatoi Kiki tenaMwanamme kujita Bisho ni aibu asili ya neno wengi hawalijui linatokana na Bi Shoga.
Huyu jamaa siku hizi amekua anasafiria Daimond na KIKI ili aonekane maana mara amtumie Hamisa. Nakulazimisha u-KING tujiulize amechangia nini kwenye huu mziki? Nilikua namkubali kwa leo ameniangusha
Wewe endelea kumfulia boxer kibakuliWewe endelea kufagia hizo ofisi za WCB, ya Mastar huwezi kuyajua.
Uzuri wa kitu unapimwa na wingi wa walaji. Huwezi jisifu kitu ni bora wakati hakina wanunuziKwahiyo views zinapima ubora wa wimbo, watoto wa siku hizi sijui mmekuwaje dah!