Alikiba toka 2008 collabo yako ja Maiko Jackson umeifungia ndani. Mbona hupendi show off wewe?????
Iachie tuisikie mashabiki wako![]()





ZuchuAkina nani hao wanaimba kawaida na wanamshinda?
Kalale ile nyimbo au utopolo kiwango Cha SGR, PHD na HD
Huyu ndo king wa mziki wa bongo Fleva hatabiliki Hit baada ya hit, hakuna kucopy copy ma idea yamejaa
Tem Mziki mzuri dude hili hapa



Sio anaimba sana malizia anaimba sana utopolo au pumba za makande.,alikiba imba sana Ila domo akija anakuja na kelele zake anasomba kijiji



Lijamaaa lishamaba kweliAlikiba toka 2008 collabo yako ja Maiko Jackson umeifungia ndani. Mbona hupendi show off wewe?????
Iachie tuisikie mashabiki wako![]()
Utasikia si vishabiki mbugira tu havijui mzikiHivi tim kiba ni mashabiki au wajumbe??? haiwezekani kabisa nyimbo ya dodo inapitwa views na karatini waliokuwa wanaiponda. Anyways,ngoja ntulie niweke akiba ya maneno usikute nyimbo zake zote zipo kwenye traffic na jamaa hasemi kwa sababu hapendi show off, siku YouTube wakitoa data kamili unakuta mwana imeipita views hadi despacito![]()
Fact akachukue kofia maana kashazoe kuiga igaNyimbo mbaya akae na ccm ndo wampe views
Hamna kitu inazidia hata na ya ibraahIna views ngapi maana lazima ulete treandings baadae
Kalale wewe mbona mwanamke tunakuchaga kila siku ebooooohYanii mwanaume unaandikaa andikaa vitu kama ambaruty hafu chukiii kama mdada asee ...hafu mbna unapoteza sifa za kigentle mzee utapelekwa Mombasa mende wengi
Yeah Zina pima na ndomana ikiwa nzuri wanakuwa wengi na ikiwa Niko Kama hii ni flop ya kiwango Cha PHD, SGR na HD.Kwahiyo views zinapima ubora wa wimbo, watoto wa siku hizi sijui mmekuwaje dah!






Sasa unazania ni Kama wewe umetuandikia utopolo ebooooh kalale dogo sawa.Yeye hapo kaona kaandika bonge la point!
FactAnaimba kama mwizi,
Kalale dogo unaleta mashudu kwenye jukwaa la Diamond THE G O. A. T"Ushamba mwiko kwa mtoto wa kariakoo, sichezi na dada zangu, nacheza na dada ako, mixer mkong'oto"- Alikiba[mediocre]



Mediocre