Uyu jamaa nimesoma nae mzumbe tulikua tunakaa nae milambo hostel the man wala hana makuu nauwez jua kama ni mtu maarufu the way anavyo jiweka atafika mbali he is very dertemined man
Ama kweli tumeishiwa maselebu!
Uyu jamaa nimesoma nae mzumbe tulikua tunakaa nae milambo hostel the man wala hana makuu nauwez jua kama ni mtu maarufu the way anavyo jiweka atafika mbali he is very dertemined man
ivi mzumbe wanafundisha udaktari siku hizi? au ni mzumbe sekondari? kiukweli jamaa yuko vema
Bonta mkali..halafu kumbe ni daktari yule...
itakua masterz ktk course ya health managment sina hakika sana kama inaitwa hivo. Ila ni kweli jamaa dokta na kasoma mzumbe
ivi mzumbe wanafundisha udaktari siku hizi? au ni mzumbe sekondari? kiukweli jamaa yuko vema