Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,252
- 24,089
Sijui ni Mitandao ya kijamii ndo imekuwa chanzo....wanaume wanazidi kuwa Wambea kuliko hata wanawake
Siku hizi ukienda kwenye misiba ama mikusanyiko huwezi koswa kundi la wanaume sita ama tisa Hivi wanapiga umbea.
Miaka ya nyuma ilikuwa haipo Kila kundi utakuta wanacheza karata ama BAO wengine washabiki wa mpira ni Simba na yanga Wana siasa ni ccm na chadema huwezi kuta masengenyo Wala umbeo.
Kwa Sasa ni tofauti wanaume wengi wamekuwa wapenda upembea kuliko michezo ama siasa. Ajabu sana.
Hata hizo radio za kibongo zimejaa umbea tupu Tena watangazaji wa Kiume ndo waongozaji wa umbea kuliko hata wanawake wale tulizoea ni kawaida Yao.
NB😛icha hii haihusiani na chochote kile kwenye Uzi huu Ila unaruhusiwa kuihusisha ukitaka Kwa matakwa Yako binafsi lakini si ya mleta Uzi huu.
Siku hizi ukienda kwenye misiba ama mikusanyiko huwezi koswa kundi la wanaume sita ama tisa Hivi wanapiga umbea.
Miaka ya nyuma ilikuwa haipo Kila kundi utakuta wanacheza karata ama BAO wengine washabiki wa mpira ni Simba na yanga Wana siasa ni ccm na chadema huwezi kuta masengenyo Wala umbeo.
Kwa Sasa ni tofauti wanaume wengi wamekuwa wapenda upembea kuliko michezo ama siasa. Ajabu sana.
Hata hizo radio za kibongo zimejaa umbea tupu Tena watangazaji wa Kiume ndo waongozaji wa umbea kuliko hata wanawake wale tulizoea ni kawaida Yao.
NB😛icha hii haihusiani na chochote kile kwenye Uzi huu Ila unaruhusiwa kuihusisha ukitaka Kwa matakwa Yako binafsi lakini si ya mleta Uzi huu.