Wimbi la wanaume kutafuta wenzi mtandaoni

Wimbi la wanaume kutafuta wenzi mtandaoni

Wasalaam wana JF,

Sikuhizi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kiume kutafuta wapenzi mitandaoni.

Je sababu haswa ni ipi?
Je ni kutojiamini au mitandaoni ndo kuna wapenzi wakweli?
Nadhani hawajui kumwaga sera. Mtandaoni anaweza akawa anaandikawa. Hata hivyo roles zimebadilika, wanawake wamekuwa aggressive kwenye masuala ya mahusiano.
 
Hakuna mwanaume anaeweza tafuta mwanamke mtandaoni aiseeee....
Haya mambo nayaona yanafanywa na wavulana, na kama wapo wanaume wa hivyo basi watakua ni wa Dar.
Huku Ushirombo bado tunatumia baria yenye msisitizo wa alama ya mshale kuchoma kumoyo.
Au wakati mwingine inapo lazimu tuna vizia mtoto anapo tumwa dukani, sokoni au alitoka kisimani
Mkuu,kesi ya kubaka inakunyemelea. Unamvizia mtu katumwa dukani? Hawachelewi kukushtaki kuwa ulitaka kumbaka. Unakumbuka kisa cha yule Dada alietoka Tanga kwenda Arusha na kupatwa na janga la...... na polisi?
 
Hao mnaowaita madomo zege wanawagonga daily. ...siwaelewi mnaposema wanaume madomo zege
 
Dah... wanawake wanatafutwa???

umechelewa kwelikweli wewe
 
Unarahisisha mambo baada ya kubaini Kuwa nao madem wamekua kama kuku wa nyama, (kuku W kizungu) kwann utoke mapovu wkt wenyewe wameshika simu mda wote iko kiganjani hata wasipokua na kazi nayo wao Wana scroll wanasubiri sms tu ya mwanaume. Very easy! Unajigongea... Kwahiyo ni ugunduzi wa njiani rahisi saana ya kuwanasa... Ingia mtandaoni, kwisha.
 
Hakuna mwanaume anaeweza tafuta mwanamke mtandaoni aiseeee....
Haya mambo nayaona yanafanywa na wavulana, na kama wapo wanaume wa hivyo basi watakua ni wa Dar.
Huku Ushirombo bado tunatumia baria yenye msisitizo wa alama ya mshale kuchoma kumoyo.
Au wakati mwingine inapo lazimu tuna vizia mtoto anapo tumwa dukani, sokoni au alitoka kisimani
Hata Kulekwetu tunatumia njia hiyo.
 
Mkuu,kesi ya kubaka inakunyemelea. Unamvizia mtu katumwa dukani? Hawachelewi kukushtaki kuwa ulitaka kumbaka. Unakumbuka kisa cha yule Dada alietoka Tanga kwenda Arusha na kupatwa na janga la...... na polisi?
Hahaahaaaa.....
Huku kwetu bado tunatumia mitindo ya kizamani aiseeee...
Kwanza hata wao mabinti wanajua hii mambo za kukimbizana na kuviziana ndipo unaweza kuzoza.
Ma babez wa huku kwetu hawajui hata kutumia hizi sim zenu za kisasa za kufuta (smart phone)
 
Hahaahaaaa.....
Huku kwetu bado tunatumia mitindo ya kizamani aiseeee...
Kwanza hata wao mabinti wanajua hii mambo za kukimbizana na kuviziana ndipo unaweza kuzoza.
Ma babez wa huku kwetu hawajui hata kutumia hizi sim zenu za kisasa za kufuta (smart phone)
Hahaha!Hiyo kiboko aisee!
 
Back
Top Bottom